Real life problem!

Real life problem!

Jaguarpaw hajarudi tu, akirudi mwambieni nilipita kumsabahi, nitarudi baadaye.
 
Baada ya saa kuwekwa betri,iliendelea kufanya kazi isipokuwa muda wake haukuwa sahihi.Assume kabla ya kuondoka ali-set muda saa 4.00.Akafika kwa jirani,saa ya jirani ilikuwa inasoma saa 7.00,akakaa masaa 10,baada ya hapo akafika home.Assume toka alivyo-set saa yake,yamepita masaa 12,chukua masaa12-masaa 10 aliyokaa kwa jirani=masaa 2.Haya masaa 2 ni ya safari ya kwenda na kurudi(kwenda lisaa moja na kurudi lisaa moja),safari ya kwenda kwa jirani ni muda wa masaa(2/2)=1.Kwa hiyo alipofika kwa jirani,saa ya jirani ilikuwa inasoma saa 7 na ya bwana khalifa ilikuwa inasoma saa(4 plus saa 1 la safari=5),kwa hiyo saa ya khalifa itakuwa nyuma kwa masaa mawili(2).kwa hiyo bwana khalifa alipofika home,aliirekebisha saa yake kwa kuipeleka mbele masaa mawili.Nimejaribu kutumia mfano kuonyesha jinsi khalifa alivyo-adjust saa yake.Thumb up kwa wote mlioshiriki,b blecd!
 
Back
Top Bottom