Na hakika hili jiwe litawagusa wengi sana. Ila duuh 30's kama demu hajaolewa atakuwa ndemwa huyo.
Sio 30's tu,hata kuwa late 40's bado sio sababu ya kuolewa na yeyote anayekuja mbele yako na ku propose ndoa.
Thamani ya mtu haishushwi na umri,usiolewe kisa umri unaelekea alasiri ukaishia kuishi maisha ya majuto.
Naona kweli wameanza tena!!
Hizi mada za age limit, single mothers, sijui vibamia, rambo, kuhonga, mwanaume suruale, pesa ndo kila ktk mahusiano, mmmh zinaletaka tafrani kubwa humu ndani
Mtu akipigwa kibuti huko na 30+ basi stress zake anakuja kumalizia humu, nani aliyesema 30+ hana choice? Yaani uolewe tu na gumegume kisa kuhofia umri!!!
Wengi wanaotetea hapa wamevuka hiyo 30 na washatumika hadi mashavu yamekuwa kama mbwa wa mzungu......
Ndio wanaongoza kutafuta waty mitandaoni maana mtaani kwao wanajulikana malayaaaaaa mbwa
Unalo. wewe utakuwa above 40Sio kila Mtu Anapenda kufikia umri huo akiwa single. Na sio kila anayefikia umri huo bila ndoa, alikuwa anachagua wanaume. Na sidhani Kama ukifikisha 30s au ukizalia nyumbani, basi ndo usiwe na mwanaume unayewish Kuwa naye, kwa hiyo Mtu ajillazimishe tu kuolewa na yeyote kwa sababu she is in her 30s? Wapo wanaume wanaooa wadada wenye watoto na wenye 30s na ndoa zao zina baraka mno. Ni kumpata Mtu sahihi tu kwa kwako
Unalo. wewe utakuwa above 40
Usije itaka Harusi kwa pupa ukarudi na talaka.
umeona eh.. hata Kasim kaimba...
Sio kila Mtu Anapenda kufikia umri huo akiwa single. Na sio kila anayefikia umri huo bila ndoa, alikuwa anachagua wanaume. Na sidhani Kama ukifikisha 30s au ukizalia nyumbani, basi ndo usiwe na mwanaume unayewish Kuwa naye, kwa hiyo Mtu ajillazimishe tu kuolewa na yeyote kwa sababu she is in her 30s? Wapo wanaume wanaooa wadada wenye watoto na wenye 30s na ndoa zao zina baraka mno. Ni kumpata Mtu sahihi tu kwa kwako
Basi sawa nimekuelewa binafsi
hahhah i like that attitudeYes am 50 darlin,... if that will top up some digits into your account.
sema wewe kiaz kitamu.... watu wako stressed na wanawake above 30 ambao ni single.... cjui wanawasshwa nn yan.. waachen walaleeeeeeeeeee.Hakuna umri kamili wa kuoa/kuolewa,bali ni pale utakayempata anayekufaa kwa wakati unaokufaa.Mtu hawezi kukubali asichokipenda eti kisa umri,hapo atakuwa hana utashi bali anaishi maisha ambayo ni artificial not real one vinginevyo utakuwa unaibaka hiyo ndoa matokeo yake itakuwa ndoano!