Read between the lines; single lady 30's inakuhusu

Read between the lines; single lady 30's inakuhusu

hahhaha kameze wembe kama wanakukera sana, or kaolewe wewe badala yao... k za kwao wewe unatekenyeka!:flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame::flame:
as a matter of fact HILI JAMBO SI KWELI! Mungu ndiyo anapanga ndoa utaishi na nani, wapo machangudoa walio kubuhu na wanaolewa.

Mmmmmh! Hii si bure kuna kitu apa mtoa mada umegusa sehem husika
 
Kila mtu ana malengo yake. Baki na yako ya kuoa wa below 30 kwa wengine sio issue
 
Jamani wewe heeee........?hakuna anaye penda kuwa single mpaka umli huo,nyie pia MNA changia mnatuumiza sana,wengi wenu so wakweli......na ambaye yuko single mpaka uli huo ujue aliumizwa ......



mi sijawahi tamani kuolewa aisee naona batabatani tuuuuuu kweli mkifikir watu wote wanapenda ndoa mmekosa, wapo wanaume 45+ but hana mpango wa kuoa jabisaaa
 
mi sijawahi tamani kuolewa aisee naona batabatani tuuuuuu kweli mkifikir watu wote wanapenda ndoa mmekosa, wapo wanaume 45+ but hana mpango wa kuoa jabisaaa

Usiige kila kitu,ndomana mwishowe mnafanya late decisions na kutuzalia watoto wenye mental retardation,kuzaa kwa kuchelewa sana kuna matatizo yake lukuki.
 
mi sijawahi tamani kuolewa aisee naona batabatani tuuuuuu kweli mkifikir watu wote wanapenda ndoa mmekosa, wapo wanaume 45+ but hana mpango wa kuoa jabisaaa


Kila kitu kina sababu zake. Hata hiyo ya kutotamani kuolewa kuna sababu nyuma ya pazia, wala sio bata batani...
 
Mmmmmh! Hii si bure kuna kitu apa mtoa mada umegusa sehem husika

hahhaha mnasemaga wadada sana, wapo wanaume wana miaka 35+ na hawapat wake wa kuoa kila siku wanatemwa wala hawapendeki pamoja na mali zao na madudu yao... and oh YES imenigusa coz kwa akili zenu fupi mnadhani wanawake tuu ndiyo husafa na suala la kutoolewa... mbona hamuongelei ya wanaume!!!!!!!!
 
root mi kwa kuangalia tu comment zako we ndio umechoka mpaka ukimwagiwa mchuzi hakuna anaye kulambaaaa.. alafu hongera maana ndugu zako wa kike wote wamestaff kufanya umalaya i mean hauziki mitandaoni.. for those women above 30 tena tembeeni kifua mbele kila mtu kwani mtapata wa kwenu
 
tena wanaume wengine ndio hao kuchwa kutesa mabint za watu. na bado mpaka sasa aja oa+30 nakujifanya bado wanafanya mazoezi kwenye mili za mabinti za watu
 
mmmh!Sijui.Maisha ya binadamu ya sasa sidhani kama ndoa ni muhimu sana sina hakika.Ila nachojua mpango mzima ni pesa.Kama ni familia zipo tu. Unahudumia vipi watoto ulionao regardless ni single parent au.Mengine mbwembwe tu.Big up divas
 
Usiige kila kitu,ndomana mwishowe mnafanya late decisions na kutuzalia watoto wenye mental retardation,kuzaa kwa kuchelewa sana kuna matatizo yake lukuki.
Aliyekwambia watoto wote wanazaliwa kwenye ndoa nani.Jiongeze
 
Sababu za msichana/mwanamke kuchelewa kuolew ziko nyingi sana wala co maringo au tabia mbaya; yaelekea we pia ni kijana mdogo sana, kua uyaone mdogo wangu kwasasa hata tukikushauri ni kama tutakua tuna ku over dose tu.
 
mfumo dume on standard acheni izo kila mtu afanye yake wadada msisikilize mitazamo inayowakandamiza
 
Back
Top Bottom