Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,159
- 121,975
Hebu acheni kunyanyapaa UDSM, hayo ni mambo yanafundishwa toka shule ya msingi mpaka sekondari. UDSM inaingiaje hapa?????????
Shule ya msingi mpaka sekondari ni sawa na kuranda mbao....UDSM ndiko unakopigwa msasa ili product itakayotoka iwe smoooooooooth
Naona alumni (sijui kama wewe mmoja wao au la) wa UDSM wanakuja juu as if tunakionea chuo chao wakati ukweli wa mambo kiko katika hali mbaya....