Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Kiranga,
Pana wakati unanitibua na pana wakati inabidi nikubaliane na wewe.
Ngoja kwanza: Kuna huyu kaandika kuhusu Makabila ya Zimbabwe, Haile Selasi, Msumbiji na Upupu mwingine. Huyu na yeye ni mweupe na heri angeliandika kwa Kiingereza ili ajitetee baadaye kuwa hafahamu lugha kama Mzee wa vijisenti. Nashukuru Member mmoja kamjibu vizuri tu mropokaji huyo ambaye sitaki hata kumkumbuka jina.
Kiranga tena: Unajua kuna watu tumesoma na kuishi duniani sehemu tofauti na huko kujifunza lugha tofauti. Sasa inafika siku, unafahamu lugha nne au tano kwa juujuu tu ila ukweli unakuwa hufahamu lugha yoyote.
Kuhusu Kiingereza cha darasa la nne: Hili nakubaliana na wewe waziwazi. Pana siku nikiwa kwenye Bus nchi ya wageni, alikuwepo mtoto mmoja ndani ya Bus kama kichaa kichaa hivi ila kijana alikuwa na akili za ajabu sana. Alikuwa na umri kama wa miaka 7 hivi. Kama mtoto kuna mengine alikuwa akichemsha, mengine kama vile kutukana na mengine mambo ya Kisomi haswaa. Katika kuongea kwake, nilisikia akisema "The law of the jungle: Survive of the fittest." Mama mmoja niliyekuwa nimekaa naye, anaweza kuwa Mwalimu, alitoa karatasi mfukoni na kumuomba yule mtoto arudie. Mtoto alirudia na mama akaandika.
Wenzetu vitu kama hivi kweli wanasomewa na wazazi wao tangu hawajaanza kusoma. Wanafunzwa historia za watu wao mashuhuri. Ni kawaida mtoto kukuambia maneno kama "viungo vya binadamu visivyotumika, hupotea...." Sijui kama nimeitafasiri vema kwa Kiswahili (Use and disuse – Individuals lose characteristics they do not require (or use) and develop characteristics that are useful - Lamarck's Theory). Ila ukweli unabaki kuwa System yetu ya kusomesha Primary school ambao ndiyo msingi, kwa miaka mingi ilikuwa mbaya sana na sasa ni kama imekufa kabisa. Watoto wanasoma ili kufaulu na wengi wanafaulu kwa mitihani kuibiwa na mwisho unabaki na kizazi cha Wachakachuaji.
Ningeliomba hili swala la kushuka elimu tulifungulie thread yake PEKE YAKE. Ni swala Muhimu sana kwa watoto wetu na future ya Taifa. Ukiweza basi anzisha thread yake peke yake maana mie naenda kulala, mmenishindisha hapa leo, upppsss!!!!
Pana wakati unanitibua na pana wakati inabidi nikubaliane na wewe.
Ngoja kwanza: Kuna huyu kaandika kuhusu Makabila ya Zimbabwe, Haile Selasi, Msumbiji na Upupu mwingine. Huyu na yeye ni mweupe na heri angeliandika kwa Kiingereza ili ajitetee baadaye kuwa hafahamu lugha kama Mzee wa vijisenti. Nashukuru Member mmoja kamjibu vizuri tu mropokaji huyo ambaye sitaki hata kumkumbuka jina.
Kiranga tena: Unajua kuna watu tumesoma na kuishi duniani sehemu tofauti na huko kujifunza lugha tofauti. Sasa inafika siku, unafahamu lugha nne au tano kwa juujuu tu ila ukweli unakuwa hufahamu lugha yoyote.
Kuhusu Kiingereza cha darasa la nne: Hili nakubaliana na wewe waziwazi. Pana siku nikiwa kwenye Bus nchi ya wageni, alikuwepo mtoto mmoja ndani ya Bus kama kichaa kichaa hivi ila kijana alikuwa na akili za ajabu sana. Alikuwa na umri kama wa miaka 7 hivi. Kama mtoto kuna mengine alikuwa akichemsha, mengine kama vile kutukana na mengine mambo ya Kisomi haswaa. Katika kuongea kwake, nilisikia akisema "The law of the jungle: Survive of the fittest." Mama mmoja niliyekuwa nimekaa naye, anaweza kuwa Mwalimu, alitoa karatasi mfukoni na kumuomba yule mtoto arudie. Mtoto alirudia na mama akaandika.
Wenzetu vitu kama hivi kweli wanasomewa na wazazi wao tangu hawajaanza kusoma. Wanafunzwa historia za watu wao mashuhuri. Ni kawaida mtoto kukuambia maneno kama "viungo vya binadamu visivyotumika, hupotea...." Sijui kama nimeitafasiri vema kwa Kiswahili (Use and disuse – Individuals lose characteristics they do not require (or use) and develop characteristics that are useful - Lamarck's Theory). Ila ukweli unabaki kuwa System yetu ya kusomesha Primary school ambao ndiyo msingi, kwa miaka mingi ilikuwa mbaya sana na sasa ni kama imekufa kabisa. Watoto wanasoma ili kufaulu na wengi wanafaulu kwa mitihani kuibiwa na mwisho unabaki na kizazi cha Wachakachuaji.
Ningeliomba hili swala la kushuka elimu tulifungulie thread yake PEKE YAKE. Ni swala Muhimu sana kwa watoto wetu na future ya Taifa. Ukiweza basi anzisha thread yake peke yake maana mie naenda kulala, mmenishindisha hapa leo, upppsss!!!!