RC Singida: Nilimuweka DMO rumande ili apate akili

RC Singida: Nilimuweka DMO rumande ili apate akili

pic+rehema+nchimbi.jpg
 
Nashangaa madaktari mmekaa kimya. Huyu mama ni wa kumdhughulikia ipasavyo! Tangazeni mgogoro na huyu mkuu wa nkoa. Hawezi kuwadhalilisha namna hii! Msmlaka za nidhamu za kushughulika na msdaktsri zipo! Sio kiumbe fulani kusmua tu kuadhibu watu hovyohovyo! Please madaktari, do something acheni unyonge. Mwenzenu ananyanyasws mpaka anaamua kujiuzulu! This is not acceptable kwenye nchi yenye madaktari wanaojitambua!
 
Mpaka uwe daktari inachukua miaka mitano chuo ukisoma, mpaka kuwa mkuu wa mkoa inakuchukua miaka mingapi chuo? Ukipata jibu utajua nani hana akili
Hao unaowaongelea wote ni madaktari rehema ni DR na aliyewekwa ndani ni DR , hafu kuna vitu vingine huwa mnatetea ni vya kijinga daktari kasababisha vifo vya watu wawili yeye kaweka ndani masaa matatu analalama ....na waliokufa watakaa makaburini miaka mingapi....? fikiri wewe
 
Hao unaowaongelea wote ni madaktari rehema ni DR na aliyewekwa ndani ni DR , hafu kuna vitu vingine huwa mnatetea ni vya kijinga daktari kasababisha vifo vya watu wawili yeye kaweka ndani masaa matatu analalama ....na waliokufa watakaa makaburini miaka mingapi....? fikiri wewe
Dr wa historia na DR OF MEDICINE wote ni ma Dr hakika
 
Hao unaowaongelea wote ni madaktari rehema ni DR na aliyewekwa ndani ni DR , hafu kuna vitu vingine huwa mnatetea ni vya kijinga daktari kasababisha vifo vya watu wawili yeye kaweka ndani masaa matatu analalama ....na waliokufa watakaa makaburini miaka mingapi....? fikiri wewe
Hivi hata kama angetangaza hao wawili wangefufuka?n
 
Dr wa historia na DR OF MEDICINE wote ni ma Dr hakika
hoja ni hiyo tu uliyoona kwani hauafahamu kuwa kusomea udakitari wa medicine si kuwa na akili kama ulivyodai hapo awali bali unakuwa na akili ya dawa tu au haujui
 
Mpaka uwe daktari inachukua miaka mitano chuo ukisoma, mpaka kuwa mkuu wa mkoa inakuchukua miaka mingapi chuo? Ukipata jibu utajua nani hana akili
Kuwa mkuu wa mk@ we foji vyet tu!
Unaupata....mkuu

Ova
 
Hapo ndipo nawashangaa wanawake wanaomba haki sawa waaminiwe kwenye madaraka matokeo yake mikurupuko naona mwendelezo wa yule dc wa njombe kumpiga kibao diwani unaendelea ngoja muwekwe benchi sijui mtaficha wapi hizo sura
Kwa namna moja ama nyingine wana waangusha walio waamini sikuona sababu ya kuzungumza kwani jambo lilishapita
 
Ubovu wake nini ukweli ndo huo mlipuko umetokea je mlimuuliza jitihada gani amefanya zaidi ya kutangaza ?
kwa cheo chake hata kuulizwa haulizwi bali ni taarifa amabazo anapaswa kuziwakilisha kitu amabacho hakufanya
 
Mtu mwenyewe ndo huyu. Sura nguuumu? Uchawi unamhusu huyu, siyo bure
 

Attachments

  • pic+rehema+nchimbi.jpg
    pic+rehema+nchimbi.jpg
    22.3 KB · Views: 33
Ana usiano wowote na dk Emanuel Nchimbi?
 
Mpaka uwe daktari inachukua miaka mitano chuo ukisoma, mpaka kuwa mkuu wa mkoa inakuchukua miaka mingapi chuo? Ukipata jibu utajua nani hana akili
Kwa kweli sijakuelewa hata kidogo!

Au unamaanisha ukitaka kujua nani mwenye akili; tunatakiwa kumchukua daktari yeyote halafu tumweke chumba kimoja na Daudi Bashite halafu tuwape paper kisha tuone nani atamburuza mwenzake; au?!

Clarification please!!
 
Huyo Rehema nchimbi ana wenge na kuweweseka! Jinamizi la yule DR bado analo! Pia ana wenge la kutofanya vizuri hapo Singida......ikitokea reshaffle ya ma RC basi ujue Rehema hatakuwemo! Then akiaj mtaan siku isiyo na jina ataenda hospital kutibiwa yeye au familia yake atakutana na yule Dr......sijui nini kitatokea!!
anapewa flajiri halafu anawekewa dripu ya konyagi...
 
Yeye ana akili?
Mbona ndo anaonekana jinga kabisa
 
Mkuu wa mkoa wa Singida, Rehema Nchimbi amedai alimueka ndani DMO ili apate akili baada kushindwa kutangaza mlipuko wa Kipindupindu japo amedai kuwa alimsikia DMO huyo akilalamika alikuwa hana jinsi ya kumfanya ila ilikuwa ni kumweka mahabusu hali uliopelekea DMO huyo kujiuzulu.

Kauli hii aliitoa jana wakati ni juzi tu Waziri Ummy kapiga marufuku wakuu wa Mikoa na Wilaya kuweka wataalam wa afya na madaktari ndani sasa sijui ni kutunishiana misuli au?
upuuzi. Lakini madaraka haya wameyapata wapi? Maana miaka yote tulikuwa nayo sherihiyo ya MaRC lakini hatukuona ujinga huu wa kuweka wataalamu na watendaji ndani bila sababu za msingi. Nafikiri tuanzie hapo ili kuweza kujua na kutatua tatizo. Kauli ya Waziri wa afya tu haitatatua tatizo hili. Huyu atajilinganishaje na Daktari siyo katika elimu tu hata na akili na pia hekima...
 
Ficha ujinga wako rc.angekuwa hana akili angeshaua wagonjwa wengi sana. Kabla hajafikia nafasi ya dmo tayari ameshapambana sana na wagonjwa hata na changamoto nyingi. Wewe nafasi uliyopewa kwa fadhila au baada ya ....... Unajiona una akili zaidi ya anayetumia taaluma yake. Au unadhani udaktari wake ni wa kumpanulia mtu mi.... aingize.wewe na daud ni wale wale.udaktari siyo maneno ni vitendo. Shame on you

Natamani kuwa IGP
 
Back
Top Bottom