RC Singida: Nilimuweka DMO rumande ili apate akili

K M S

JF-Expert Member
Dec 18, 2016
524
424
Mkuu wa mkoa wa Singida, Rehema Nchimbi amedai alimueka ndani DMO ili apate akili baada kushindwa kutangaza mlipuko wa Kipindupindu japo amedai kuwa alimsikia DMO huyo akilalamika alikuwa hana jinsi ya kumfanya ila ilikuwa ni kumweka mahabusu hali uliopelekea DMO huyo kujiuzulu.

Kauli hii aliitoa jana wakati ni juzi tu Waziri Ummy kapiga marufuku wakuu wa Mikoa na Wilaya kuweka wataalam wa afya na madaktari ndani sasa sijui ni kutunishiana misuli au?
 
Huyo Rehema nchimbi ana wenge na kuweweseka! Jinamizi la yule DR bado analo! Pia ana wenge la kutofanya vizuri hapo Singida......ikitokea reshaffle ya ma RC basi ujue Rehema hatakuwemo! Then akiaj mtaan siku isiyo na jina ataenda hospital kutibiwa yeye au familia yake atakutana na yule Dr......sijui nini kitatokea!!
 
Sheria zetu bado ni za kikoloni japo kuwa tunajidai kuwa huru kwa miaka mingi. Hivi huu ujinga wa watanzania kuwa na nguvu ya kuwaweka watanzania wengine ndani bila makosa ya msingi bali utashi wa watawala hii kitu gani. Bora wakoloni walikuwa wanajihami dhidi ya weusi ambao kimsingi kutokana na kuwatawala kimabavu walikuwa maadui. Sasa watwambie uadui wetu na hawa watawala ni upi mpaka wawe na sheria za kujihami kama hizo za kuweka ndani weusi wenzao. Uhuru wa kweli bado sana.
 
Kati ya RC na Waziri nani ana nguvu dhidi ya mwenzake ilhali wote wameteuliwa na mtu mmoja?
Waziri ataendelea kulalama jukwaani ila hana power yeyote dhidi ya RC. Kwani Gambo si alimvimbia prof.Maghembe na hakuna kilichofanyika? Au Bashite vs Nape!
 
Huyo Rehema nchimbi ana wenge na kuweweseka! Jinamizi la yule DR bado analo! Pia ana wenge la kutofanya vizuri hapo Singida......ikitokea reshaffle ya ma RC basi ujue Rehema hatakuwemo! Then akiaj mtaan siku isiyo na jina ataenda hospital kutibiwa yeye au familia yake atakutana na yule Dr......sijui nini kitatokea!!
Kisasi ni kitu kibaya... anaeza mchoma hata sindano ya malaria kwenye macho.. ili apate utam
 
Ficha ujinga wako rc.angekuwa hana akili angeshaua wagonjwa wengi sana. Kabla hajafikia nafasi ya dmo tayari ameshapambana sana na wagonjwa hata na changamoto nyingi. Wewe nafasi uliyopewa kwa fadhila au baada ya ....... Unajiona una akili zaidi ya anayetumia taaluma yake. Au unadhani udaktari wake ni wa kumpanulia mtu mi.... aingize.wewe na daud ni wale wale.udaktari siyo maneno ni vitendo. Shame on you
 
Back
Top Bottom