Rehema Nchimbi amehamia Singida miezi kama mitatu kutokea Njombe.. is it fair to judge kwamba ameshidwa kufanya kazi yake kwa muda huu mfupi?Huyo Rehema nchimbi ana wenge na kuweweseka! Jinamizi la yule DR bado analo! Pia ana wenge la kutofanya vizuri hapo Singida......ikitokea reshaffle ya ma RC basi ujue Rehema hatakuwemo! Then akiaj mtaan siku isiyo na jina ataenda hospital kutibiwa yeye au familia yake atakutana na yule Dr......sijui nini kitatokea!!