RC Singida: Nilimuweka DMO rumande ili apate akili

RC Singida: Nilimuweka DMO rumande ili apate akili

Huyo Rehema nchimbi ana wenge na kuweweseka! Jinamizi la yule DR bado analo! Pia ana wenge la kutofanya vizuri hapo Singida......ikitokea reshaffle ya ma RC basi ujue Rehema hatakuwemo! Then akiaj mtaan siku isiyo na jina ataenda hospital kutibiwa yeye au familia yake atakutana na yule Dr......sijui nini kitatokea!!
Rehema Nchimbi amehamia Singida miezi kama mitatu kutokea Njombe.. is it fair to judge kwamba ameshidwa kufanya kazi yake kwa muda huu mfupi?
 
Huyu kajeurika kuitika wito wa mwenye wizara husika ni jeuri tu ya madaraka.
 
madaktari mmesikia huyu mtu akiumwa akaja kwenu nadhani mnajua mumsaidiaje...ingekuwa mi daktari hahahaa Kama anaumwa akaja kwangu nampa nusu kaputi alafu "namtibu tartiiibu"
 
Mkuu wa mkoa wa Singida, Rehema Nchimbi amedai alimueka ndani DMO ili apate akili baada kushindwa kutangaza mlipuko wa Kipindupindu japo amedai kuwa alimsikia DMO huyo akilalamika alikua hana jinsi ya kumfanya ila ilikua ni kumweka mahabusu hali uliopelekea DMO huyo kujiuzulu.

Kauli hii kaitoa jana wakati ni juzi tu Waziri Ummy kapiga marufuku wakuu wa mikoa na wilaya kuweka wataalam wa afya na madaktari ndani sasa sijui ni kutunishiana misuli au?
kiki
 
Kweli DMO kapata akili ya maisha amejiuzulu. Huwezi kufanya kazi chini ya mtu anaefikiri anajua kila kitu na anaependa manyanyaso. Big up MD, zii Dr. Nchimbi. I hope na yeye atapata akili.
 
Kumbe kuwekwa jela kunaongeza akili kwa madaktari! Hii ni mpya.
 
RC alimuonea sana yule kijana. Totally unprofessional. Issue yenyewe iliibukia kwenye kikao na kama kulikuwa na haja ya kumuweka mtu ndani, alipaswa awekwe RMO. DMO alifanya vyema sana kupiga chini kazi. Kilichofanyika ilikuwa udhalilishaji wa wazi kabisa wa professions za watu.
 
Hivi hawa ma RC na ma DC wana nini ?!
Madaktari amkeni basi.
 
Mkuu wa mkoa wa Singida, Rehema Nchimbi amedai alimueka ndani DMO ili apate akili baada kushindwa kutangaza mlipuko wa Kipindupindu japo amedai kuwa alimsikia DMO huyo akilalamika alikua hana jinsi ya kumfanya ila ilikua ni kumweka mahabusu hali uliopelekea DMO huyo kujiuzulu.

Kauli hii kaitoa jana wakati ni juzi tu Waziri Ummy kapiga marufuku wakuu wa mikoa na wilaya kuweka wataalam wa afya na madaktari ndani sasa sijui ni kutunishiana misuli au?
Hawa ma rc na ma dc wanatumia madaraka yao vibaya na ni afadhali bunge lipitishe sheria kali ya kuwawajibisha endapo watarudia kufanya huo upuuzi
 
Kati ya RC na Waziri nani ana nguvu dhidi ya mwenzake ilhali wote wameteuliwa na mtu mmoja?
Waziri ataendelea kulalama jukwaani ila hana power yeyote dhidi ya RC. Kwani Gambo si alimvimbia prof.Maghembe na hakuna kilichofanyika? Au Bashite vs Nape!
Unataka kuniambia waziri mkuu hana power dhidi ya mkurugenzi kisa wote wameteuliwa na mtu mmoja?
 
Huyo Rehema nchimbi ana wenge na kuweweseka! Jinamizi la yule DR bado analo! Pia ana wenge la kutofanya vizuri hapo Singida......ikitokea reshaffle ya ma RC basi ujue Rehema hatakuwemo! Then akiaj mtaan siku isiyo na jina ataenda hospital kutibiwa yeye au familia yake atakutana na yule Dr......sijui nini kitatokea!!

Madaktari wanahitajika sana Kenya, Uganda, South Sudan, Angola Namibia Boswana Swaziland Canada USA lakini mkuu wa mkoa ni hapa tu!
 
Huyo Rehema nchimbi ana wenge na kuweweseka! Jinamizi la yule DR bado analo! Pia ana wenge la kutofanya vizuri hapo Singida......ikitokea reshaffle ya ma RC basi ujue Rehema hatakuwemo! Then akiaj mtaan siku isiyo na jina ataenda hospital kutibiwa yeye au familia yake atakutana na yule Dr......sijui nini kitatokea!!
Point
 
Back
Top Bottom