RC Mongella marehemu Omela Wangwe hakupigwa na wananchi wenye hasira. Simamia haki ili waliomuua wakamatwe

Ndugu acha ujinga,
Ina maana wewe ukisema alipigwa ndani ya ofisi ya kata ndio ushahidi tosha. Wewe nani?...
Bwege wewe usie na akili hata kiduchu. Nimekuuliza unao uhakika kuwa aliiba milango?

Mtendaji wa kata anaruhusiwa kisikiliza kesi ya jinai?

Wewe mwizi akikuibia kama ukitaka kuchukua sheria mkononi shauri yako.

Mpuuzi usie na akili unajifanya kujadili masuala usioyajua.
 
Mkuu Mongela hebu rudisha imani ya wananchi kwa serikali badala ya kukumbatia huu uhuni wa mapolisi. Tenda haki ili Mola ane apate kukulinda na kukupa heshima.
 
Nashukuru Odhiambo cairo umemkumbusha mwanajukwaa mwenzetu huyu chagu wa malunde kuhusu TUNDU LISSU kushambuliwa na kikundi cha wasiojulikana chini ya Bashite. Siku zote tukimuambia Serikali inahusika anatuambia LETE USHAHIDI. Nilimuambia siku moja kuwa asubiri siku mtu wake wa karibu auliwe ndiyo atajuwa kuwa nchi hii inaendeshwa kiholelea. Yamempata tayari
 
Huihui2 natamani kuona Chadema na viongozi wake wanachukua hatua kuhakikisha waliompiga risasi TL wanajulikana, kama Polisi Tanzania hawatachukua hatua juu ya ishu ya TL zipo hatua za kufuata kuanzia hapa nyumbani mpka UN. Kulalamika kwenye media haisaidii huku mmekunja miguu.
 
Na yamemkuta huyu Kada . Inaonekana huyo Omela yaonekana ni ndugu ye wa karibu. Ndiyo ameujua uchungu wa uonevu.

Wanachama wa Cdm, Act na Cuf wameumizwa vya wengine wameuliwa kisa tu, wanaitikadi tofauti na wenye nchi . Wengi leo wapo magerezani, kwa kesi za kubumba, Lakini @ Chagu wa Malunde hajawahi kujisikia uchungu alionao leo kwa ndugu yake kuuliwa !!.

Nchi hii ni ya watu wote. Wanaotuhumu na wanaotuhumiwa. Na si kweli kuwa wanaotuhumu wana haki kuzidi wengine
 
Mimi nakushauri peleka hili suala kwa Waziri Mkuu au kwa Mhe. Raisi mwenyewe.
 
Hawa jamaa sio wa kawaida, akiongozwa na katibu tawala wa mkoa wake wanakauli mbiu yao, "Duniani sheria, haki mbinguni", pathetic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…