Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,494
- 37,787
Hili swali wakikujibu Misukule wafuata upepo narudi kulala, labda wakitukane tu.Hivi ni wakazi wangapi wa Dar wana akaunti za benki na wanasifa ya kuweza kumiliki credit card?
Bora angeongelea malipo ya kielektroniki na si credit card. Hatuwezi kuendelea kwa kunakili tu yaliyofanyika huko kwenye mataifa yaliyoendelea saa nyingine ni bora tuangalie kwanza mazingira yetu kabla ya kuja tu na solution.
Sent using Jamii Forums mobile app