Timm Wu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 505
- 1,360
Kawadhibiti wenzio ili abaki mwenyewe sokoniHii Dar bila Makonda sijui ingekuwaje, mtoto mdogo kabisa ila kaweza kudhibiti mashoga na madawa
Kawadhibiti wenzio ili abaki mwenyewe sokoniHii Dar bila Makonda sijui ingekuwaje, mtoto mdogo kabisa ila kaweza kudhibiti mashoga na madawa
Ile showroom ya kigamboni vipMkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema ofisi yake itaandaa utaratibu ili wakazi wa jiji la Dsm wawe wanafanya manunuzi yao kwa kutumia credit cards badala ya fedha taslimu. Makonda amesema utaratibu huo ndio unaotumika katika miji mikubwa yote duniani ambako watu wanaotumia cash ni wachache sana.
Makonda amesema utaratibu huo utawexesha kudhibiti ulipaji wa kodi kwani utaratibu wa sasa wa kutumia EFD machines unatoa mwanya wa ukwepaji kodi.
Mkuu wa mkoa Makonda amesema hayo katika mkutano wake wa kazi na watendaji wote wa Halmashauri za jiji la Dsm pamoja na viongozi wa TRA mkoa wa Dsm.
Source Estv habari
Maendeleo hayana vyama!
Nadhani bashite aliteleza ingawa hii kitu ya kadi haiepukiki. Naona watu wengi wananunua mafuta Total kwa vile kuna utafiti I wa kadi. Credit card kwa Tanzania yetu bado sana au vipi cariha ?Mmh credit card au debit card? Kuweni serious kidogo!
Huyu hajakoma tuu kauli kama hizi tujiulize waziri wa fedha,kamishna wa TRA wanajisikiaje wanaposikia kauli hii inatoka kwa mtu asiyehusika kabisa na kodi?
Je, kesho watu wa Dar wakiacha kutumia EFD mashine kwa kauli ya RC itakuaje?
Suala la credit card siyo la serikali kuamua bali miundo mbinu yenyewe itajipeleka huko.
Bora angehimiza malipo kwa mobile money M-PESA, Airtel money na tiGO Pesa maana hivyo vipo kwa kila raia.
Huyu anajua jinsi ya kucheza na akili ya jiwe.Huyu BASHITE ana mipango kama milioni hivi na hajawahi kufanikisha mpango wowote.
Hakika mkuu!ukiwa kiongozi na mawazo mazuri usingoje mpaka waziri mhusika aseme no umechaguliwa kutuongoza lete ubunifu wako wa maendeleo narudia tena lete ubunifu wako wa maendeleo usingoje aliyelala aseme
Sent from my iPhone using JamiiForums
Msameheni kwa kuwa upeo wake ni mdogo. Kwani unategemea nini kwa mtu aliyegushi vyeti?Uzuri hajawahi kufanikisha hata moja.
Sorry nadhani umesahau kuwa mfumo wetu wa masoko uko shagrabagara-Malawi ni nchi masikini ila kwa mfumo wa masoko-Kamuzu alijitahidi sana-hata kijijini unakuta branch ya peoples super market or chipiku store or chipuku plus-hapa kwetu makonda utasubiri sanaMkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema ofisi yake itaandaa utaratibu ili wakazi wa jiji la Dsm wawe wanafanya manunuzi yao kwa kutumia credit cards badala ya fedha taslimu. Makonda amesema utaratibu huo ndio unaotumika katika miji mikubwa yote duniani ambako watu wanaotumia cash ni wachache sana.
Makonda amesema utaratibu huo utawezesha kudhibiti ulipaji wa kodi kwani utaratibu wa sasa wa kutumia EFD machines unatoa mwanya wa ukwepaji kodi.
Mkuu wa mkoa Makonda amesema hayo katika mkutano wake wa kazi na watendaji wote wa Halmashauri za jiji la Dsm pamoja na viongozi wa TRA mkoa wa Dsm.
Source: Estv habari
Maendeleo hayana vyama!
Tumtie moyo RC badala ya kumkatisha tamaa!Sorry nadhani umesahau kuwa mfumo wetu wa masoko uko shagrabagara-Malawi ni nchi masikini ila kwa mfumo wa masoko-Kamuzu alijitahidi sana-hata kijijini unakuta branch ya peoples super market or chipiku store or chipuku plus-hapa kwetu makonda utasubiri sana
Hamna kumkatisha tamaa hapa,anafikilia impossibles-wewe utalipia mchicha au nyanya gengeni kwa kutumia debit card or credit card-huyo mama wa gengeni hiyo divice ya kusuport hiyo huduma ata ipata wapi? Je Makonda anajua ni alisimia ngapi ya wazazi wa Dar wana benki account?Tumtie moyo RC badala ya kumkatisha tamaa!
Akili yako unaijua mwenyewembona aliwahi kumtia ndani Wema sepetu
Kumbe hana moyo ndiyo maana!Tumtie moyo RC badala ya kumkatisha tamaa!
Hiyo ilikuwa Project ya pili kubwa!Yap wa Kumpoteza NEB ENANAAS ila wa USSIL ulifeli.
Si kweli mbona wewe bado unaendeleo kutoa huduma?Hii Dar bila Makonda sijui ingekuwaje, mtoto mdogo kabisa ila kaweza kudhibiti mashoga na madawa
Duh aisee bongo itaachalini kuwa na mang'ombe??Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema ofisi yake itaandaa utaratibu ili wakazi wa jiji la Dsm wawe wanafanya manunuzi yao kwa kutumia credit cards badala ya fedha taslimu. Makonda amesema utaratibu huo ndio unaotumika katika miji mikubwa yote duniani ambako watu wanaotumia cash ni wachache sana.
Makonda amesema utaratibu huo utawezesha kudhibiti ulipaji wa kodi kwani utaratibu wa sasa wa kutumia EFD machines unatoa mwanya wa ukwepaji kodi.
Mkuu wa mkoa Makonda amesema hayo katika mkutano wake wa kazi na watendaji wote wa Halmashauri za jiji la Dsm pamoja na viongozi wa TRA mkoa wa Dsm.
Source: Estv habari
Maendeleo hayana vyama!
Indeed....malipo ya mobile money could work better kwenye mazingira yetu, hata nje ya Dar. Sio credit cardsHuyu hajakoma tuu kauli kama hizi tujiulize waziri wa fedha,kamishna wa TRA wanajisikiaje wanaposikia kauli hii inatoka kwa mtu asiyehusika kabisa na kodi?
Je, kesho watu wa Dar wakiacha kutumia EFD mashine kwa kauli ya RC itakuaje?
Suala la credit card siyo la serikali kuamua bali miundo mbinu yenyewe itajipeleka huko.
Bora angehimiza malipo kwa mobile money M-PESA, Airtel money na tiGO Pesa maana hivyo vipo kwa kila raia.