Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,646
Bwana Makonda inabidi apate mtu mzuri wa kumfanyia cancelling siyo bure.
No research no right to speak. Lete research aliyofanya, vinginevyo ni uropokaji at its best.HUYU, JAMAA akiendelea hivi namuona akiwa kiongozi bora, hivi tuache unafiki nani hasiyejua ili mpaka jamaa kalisema tunampiga madongo?
Sample ni mikoa mingapi? kuna tatizo kubwa sana hapa.Anasema, "Asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu, kazi yao ni kupiga umbea na majungu" Sasa huo utafiti kafanya lini au ameitowa wapi hiyo asilimia 80? Hapa kuna shida tena kubwa sio bure
Huu ni ukweli usiopingika watumishi wa serikali wamejisahau Ila adhabu ya kutimuliwa kazi Mungu anakuona mh. Makonda."Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi serikalini maana wako wengi sana lakini asilimia 20 pekee ndiyo wanafanya kazi, na asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu, kazi yao ni kupiga umbea na majungu" - Hilo ni wazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
CHANZO: EATV
Huyu kijana hata cheo cha mkuu wa mkoa kikifutwa ameshaonekana ni hazina ya taifa hatakosa sehemu ya kufiti na kufanya kazi vizuri.Dar es salaam ni mkoa mmoja ila una viongoz wengi wa ngazi tofauti za kiutawala mf DED,RC,RAS,MAYOR,MP's nk..vipi kama ikakubaliwa kuwa baadhi ya vyeo vya kisiasa vikaondoshwa alaf katika wanaondoahwa na cheo cha ukuu wa mkoa kikaondoshwa,je mtoa ushauri atajisikiaje!,
katika maisha wawe wanafikilia na wenzao sio wanajifikilia wao tuu!machungu utakayoyapata katika kuondoshwa inakuaje uombe mwenzako ayapate wakat ww mwenyewe unakesha ukiomba yasikukute!
nukuu"ukiona mfanyakaz anachukia uwepo wa wafanyakaz wenzake kwa kigezo eti ofisi ina wafanyakaz wengi hiyo ni ishara ya roho mbaya na ubinafsi"
Inawezekana Mh.Mkuu wa mkoa ana nia njema,lakini watumishi anaoongelea ni wa mkoa wake tu au watumishi wa mikoa yote?Nilidhani mtu sahihi wa kwenye hili ni waziri mwenye dhamana kwa kuwa yuko karibu nalo na ana uwezo wa kulitafiti kwa usahihi."Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi serikalini maana wako wengi sana lakini asilimia 20 pekee ndiyo wanafanya kazi, na asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu, kazi yao ni kupiga umbea na majungu" - Hilo ni wazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
CHANZO: EATV
Angeacha kwanza yeye maana tangu ateuliwe amekuwa mpiga domo kwenye media na mwingi wa majungu"Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi serikalini maana wako wengi sana lakini asilimia 20 pekee ndiyo wanafanya kazi, na asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu, kazi yao ni kupiga umbea na majungu" - Hilo ni wazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
CHANZO: EATV