Huyu Makonda amekaa haka kupiga picha cheki jicho yaani yuko attention kuchukua picha, hapo ndo ujue lengo LA ziara ni kuuza sura na so vinginevyo
Cheki domo
Hivi huyu mkolomije yuko Dar kama mzurulaji au nani!?? Arudi kwao."Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi serikalini maana wako wengi sana lakini asilimia 20 pekee ndiyo wanafanya kazi, na asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu, kazi yao ni kupiga umbea na majungu" - Hilo ni wazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
CHANZO: EATV
mzurulaji huyoMwacheni Mstaafu apumzike kwa Amani..
Leo kunani mbona zinafukuliwa sana nyuzi za kumhusu Bashite?