Unaishi Dar es salaam ya wapi ndugu?! Au mpita njia?!Majina ya madawa ya kulevya kelele zilipigwa vivyo hivyo....
Tukawaona,na tukawajua kwa Majina leo mateja Dar unawatafuta.....
Songa mbele baba
Hivi kabisa unaamini Dar es salaam hakuna drug dealers?!
Unaweza kunitajia ni drug dealer yupi alikutwa na mihadarati miongoni mwa wale aliokuwa amewataja?!
Au Wema Sepetu na TID?!