Hahaaha!Hahahahaha lol! Anakuja anakuja nani Bashite!!Kabudi katoa jicho analizungusha kama saa.
Hahaaha!Hahahahaha lol! Anakuja anakuja nani Bashite!!Kabudi katoa jicho analizungusha kama saa.
Subiri kidogo video click zinakuja uone wabunge wa ccm walivyochukiaKawachafua wapi na kivipi
Jana tuu kamjibu wazir wa katba kua hao wanaosema anavunja sheria labda wana watot ,makonda amekosa heshma tang cku nying hat kipnd cha warioba mnajua alichokfanyaKawachafua wapi na kivipi
Aisee umenikumbusha alivyomzabua vibao mzee warioba utafikiri anapiga mwizi wa Kuku kumbe anampiga waziri mkuu msaafu, baada ya hapo akapata u DCJana tuu kamjibu wazir wa katba kua hao wanaosema anavunja sheria labda wana watot ,makonda amekosa heshma tang cku nying hat kipnd cha warioba mnajua alichokfanya
Hapana. Mwaacheni ajiharibie hadi siku awe mzigo mzito usibebeka .Huo ni Ushauri wa bure acha Ugomvi na wabunge na usiwe mbishi kutubu kwa wabunge
Siku hizi ameacha kwenda makanisani kusali na kuliaHapana. Mwaacheni ajiharibie hadi siku awe mzigo mzito usibebeka .
Weka clip inayosikika akimjibu waziriJana tuu kamjibu wazir wa katba kua hao wanaosema anavunja sheria labda wana watot ,makonda amekosa heshma tang cku nying hat kipnd cha warioba mnajua alichokfanya
Nataka video ya makonda sio ya wabunge kukasirikaSubiri kidogo video click zinakuja uone wabunge wa ccm walivyochukia
Basi sawa kabisa, sisi tunasubiri.Mkuu Malcom,
Suala la Makonda kukemewa katika hili halipo na wala halitatokea!
Nataka video ya makonda sio ya wabunge kukasirika
Hao wabunge wakiisema chadema mnawatukana,wakimsema Makonda mnachekelea kama mazuzu.Weka na video ya boriti ya kibajaji