Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
Who is he by the way
Hakuna kingine zaidi ya roho ya kimasikini,yaani roho mbaya,kufurahia mwenzako akipata matatizoHivi hizi tabia za kufurahia mwenzako anapokosa fursa zinatokana na nni ?
Alafu ya EFM itakuwaa n buree kabisaaaaaaaaaNasikia tarehe 25 November kwenye kilele cha fiesta bashite ameendaa tamasha kubwa la wanafunzi wa Chuo usiku kwa kushirikiana na EFM tarehe hiyo hiyo.
Nasikia tarehe 25 November kwenye kilele cha fiesta bashite ameendaa tamasha kubwa la wanafunzi wa Chuo usiku kwa kushirikiana na EFM tarehe hiyo hiyo.
Hivi bandugu, humu jf tumeingiwa na jini gani anayetupandisha mori wa kisirani kushindwa kustahimiliana na kuvumiliana hadi kupelekea tuhusudu sana lugha za matusi?Clouds mkome.kwa.kujipendekeza kwa.Huyo.msela wenu mavi.
Umesikia!? Alaf unatuletea hapa habari za kusikia!? We zero kweli wewe!
No research no right to speak, hujui unachongumza wewe!Clouds wajifunze ipp media
Ipp media imetenganisha urafk na kazi
Mengi Ana marafk weng wanasiasa ila huwa hapendelei mtu
Kwahiyo we unajua?No research no right to speak, hujui unachongumza wewe!
Umenifanya nicheke kwanguvu aiseeKwa hiyo wasomi watacheza muziki na msomi mwenzao Bashite.
Nimeelewa leo kwa nini Ruge alitinga studio na hadithi yake ya ngadu/kaa.Nasikia tarehe 25 November kwenye kilele cha fiesta bashite ameendaa tamasha kubwa la wanafunzi wa Chuo usiku kwa kushirikiana na EFM tarehe hiyo hiyo.