Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha taarifa hii au weka hata kavideoNasikia leo team ya Clouds FM kama ilivyo kawaida yao ya kwenda ofisi za Wakuu wa Mikoa kukaribisha Msimu wao wa Tigo Fiesta so baada ya kufika kwa Makonda wakakuta waandishi wengine wanasubiri Press yake ambayo aliita kuwafahamisha uwepo wa Meli kubwa inayotegemea kuja siku zijazo kwa ajili ya kuleta Madokta toka China.
Baada ya Press kuisha vijana wa Mjengoni ‘Clouds’ wamemfata Makonda kumrekodi Jamaa kawachomolea mbele ya waandishi wengine wa habari kwa kusema hawezi kurekodi hana huo muda.!! Naona sasa mambo yamefika patamu.
Nafurahi kuona vjana walio na upeo mkubwa wa kufikiri mambo kama hiviRuge mjanja sana, ameona anawe mikono isije semwa mbona RC wa Dar hakurekodiwa kama wengine!! Nimependa akili hii, pre-defence (sic)
Hahaha daddy is coming around the cornerCalm down Daddy is coming
Wanatangaza habar zake zamani sana mbonaUle mgomo wa kususia habari za Makonda umeisha?..maana kama taarifa zenu za habari hamtangazi habari zake, nini kiliwapereka kwake?.."shetani mbaya kiatu chake dawa?"..
Itakuwa uongo ungeona video zinatrend maana waliokuwepo asingekosekana mtu wa kurekodi video na kurushaClouds itakuwepo
Makonda ataondoka