RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

Mbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!

Kumbuka madiwani wote walichaguliwa 2015 October pamoja na Rais Magufuli, tumia common sense! Ebu zima simu yako halafu uwashe kama default year ni 01/09/1999 au default year ni 01/01/2001 ni mpaka ubadilishe tarehe manually kuwa mfano 01/10/2017!
 
Mbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!
Ni kosa la setting ya kamela sababu matukio yote ni baada ya uchaguzi wa 2015. Ukisikiliza na kuangalia matukio kuhusu ajira na mengine unajua ni recent events.
 
Hivi PCCB kazi yao ni kushughulika na rushwa zipi? Ili jambo lipo wazi kabisa na ushahidi wa video bila chenga unaonekana lakini naamini hutowasikia kabisa. Mhe Mbowe kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni amewai kuongea ndani na nje ya bunge kuwa wabunge wa ccm wameongwa milioni kumi kumi lakini takukiru hadi wa leo kimya..
 
Mbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!

Hawakurekebisha tarehe ya kutengenezwa kwa kamera. hata camera yangu hapa home ukipiga picha au video inaandika mwaka 2015. Niliinunua mwaka 2016 Ujerumani.

Katika mzungumzo ya clip ya video inasikika kuwa ''mh. atafika tarehe 23, Sept na watafanya juu chini wakutane naye ili mpango mzima ukamilike CCM ipate kiki....'' - Alexander Mnyeti

Sept 23, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 23 Septemba, 2017 amewatunuku kamisheni maafisa wapya 422 wa Jeshi
 
kweli kuna watu akili ndogo yani kichwa kimejaa CSF badala ya brain, hivi kweli unaweza kusema hiyo ni video ya kutengenezwa ? wakati mtu anaonekana kabisa anaongea, ananyoosha na mikono.. kweli ule moshi wa mwenge umewaingia vichwani
 
Vila hata video hawa jamaa hawapo smart ni ujinga ujinga tuu sijui ili iweje,wanafanyia kazi ndoto kuliko uhalisia wakizinduka tuu usingizini utasikia tunalipa cash ndege...
 
Mkuu, Ronal Reagan nimesoma post yako ukijaribu kumuelewesha johnthebaptist

Napenda kukwambia tu, hawa vijana wa lumumba wameshikwa wakashikika..

Hilo la mwaka 2008 ndio tawi pekee walilobakiza na watajishikilia hata ujaribu kuwaelewesha kwa njia gani, hawatokubali kukubali kuonyesha kuelewa!
Pole mkuu,basi tumia akili za kikubwa pengine unatumia za kitoto
Mkuu hiyo video pale Takukuru itaishia mapokezi ni kama inakosa uwiano wa wahusika na " wakati "!
 
Back
Top Bottom