RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

Halafu huyu anadanganya umma wa Watanzania eti anainyoosha nchi! Kumbe yuko busy kusambaratisha upinzani kwa kutumia ajira za Serikalini ambazo zinatokana na kodi ya walipa kodi nchini.

Msikilizeni huyu mnafiki hapa.

 
Mmmh hapa kazi ipo, Nimekumbuka mwalimu wangu wa physics kule special school aliposema ujio wa Albert einstein ,Concept za newton zilikuwa challenged sana, ila kikubwa newton na einstein ni vizazi viwili tofauti sana, einstein alikuja miaka 300 baadae sana ndio sasa mambo ya sasa yatakuwa challenged miaka 3 ijayo bado kidogo sana sana
 
Woyooooooooo yooooooo kwa sauti na mayowe ya Sakayo
Baaaam kwishney!
Halafu kuna mtu anasema ya kutengenezwa how???
Gambo gambika Mollel kajieleza mwanzo mwishooooo
TAKUKURU msimung'unye hiii iko dhahiri
JK Membe Lowassa Magu mumo kwa mumo
SIASA NI MCHEZO MCHAFU KAZI YA SHETANI!
ccm hapa hamchomoki!
Kumbe janja yenu ni hiii?! AIBUUUUUUU KHA!
 
Back
Top Bottom