RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

Halafu huyu anadanganya umma wa Watanzania eti anainyoosha nchi! Kumbe yuko busy kusambaratisha upinzani kwa kutumia ajira za Serikalini ambazo zinatokana na kodi ya walipa kodi nchini.

Msikilizeni huyu mnafiki hapa.


Yeye sasa ndo tunamnyoosha!
 
Kwa video hii na jinsi malaika mtukufu mtoa roho alivyodanganywa nategemea kesho SAA 6 ajiuzuru kwani huu pango sio wa myeti na Gambo Bali ni channel
1; mkuru
2: pole pole
3 gambo
4: Mnyeti
Malaika jiuzuru aibu hii utaibebea wapi?
 
Hiyo tarehe siyo ishu, ni factory setting hiyo, mwenye Camera hakuifanyia resetting!. Hata hivyo hiyo time haiathiri Contents!. Kama shauri likienda mahakamani expert opinion itaelezea resetting ya time haiwezi kuinvalidate content!

Hata digital camera usipoireset time ukipiga picha itaonyesha picha ya zamani lakini hiifanyi picha kuwa ni ya zamani!!
ukienda mahakamani na hiyo evidence unakalishwa asubuhi kabisa. hilo ni kosa kubwa sana.
 
Video ya miaka 7 iliyopita, then angalia sauti na mdomo kama vinaendana.ila kwa chadema ni wanywa viroba hawatakaa waekewe
Tumia akili kama ulikua 2008 kweli huyo aliyerecord alikua mtabili wa kiasi gani wakujua kua
1 Magufuri utakua Raisi
2: Mnyeti utakua DC
3: Gambo utakua RC
Hebu hangaisha walau ubongo kidogo.
 
Tumia akili kama ulikua 2008 kweli huyo aliyerecord alikua mtabili wa kiasi gani wakujua kua
1 Magufuri utakua Raisi
2: Mnyeti utakua DC
3: Gambo utakua RC
Hebu hangaisha walau ubongo kidogo.
Kwa hiyo hata ile audio ya mbowe na wema ilikuwa kweli, ww ndio utumie akili walichofanya hapo ni kuiga sauti na kuziingiza kwenye hiyo video. Kwa nn camera haimuoneshi huyo diwani usoni akiwa anaongea
 
Mtandao wa rushwa umetamalaki kila mahali.
Kama huna hela tanzania hupati haki.
 
dab8083112695e9922c98d9419b51e7f.jpg
 
Duh!
Kumbe ni kweli?
Dah! Aibu kweli kwa CCM hii...

Nikijumlisha na Hasira za Pogba juzi Arusha, ni Aibu.....


Hata hivyo Shamba ni la Bwana Kheri, Minazi ya Bwana Kheri........
 
Mbona sijaona sura ya Gambo kwenye hii clip? Naona MTU mmoja tu anayeandikwa kama Emmanuel Mollel, tena anaonekana kuwa na lafudhi ya kichaga!!!
 
Kwa kuwa huu ni ushahidi basi umeingia dosali hivyo kutakuwa na shida hata mbele za sheria kwa kuwa mtuhimiwa naweza kusema Hii ni video ya mwaka 2008 na ni ya kutunga wanaweza wao wenyewe ukawafungulia case
We jamaa acha kukufuru fani ya sheria kwaiyo unataka kuniambia unapoongea uku ukiwa umevaa tisheti ya taasisi ya sherehe ya mwaka 2008 utataka kuniaminisha ndo itakua sio 2017 wakat lugha yako maongezi yako yanataja wahusiki wa miaka ya karibuni

Ngoja nikwambie kitu digital kwako uzijui vizur kama hata computer yako au cm ikiwa akuna backup ya chaji upoteza majira mapema au kutokua na chaji kwa muda fulani naona uwezo wako mdogo kwenye technologia ndo mana ata ile barua yenu ya pole kwa lissu ilikua na makosa na mkashindwa kulekebisha ila kwa hili ujaelewa nn shida
 
Back
Top Bottom