RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

Mbona hii video iko staged, ukisikiliza hayo mazungumzo utaona yamepangwa na zaidi ya hayo mazungumzo yalitakiwa kuwa yanarekodiwa bila kujulikana kama ni uchunguzi, mazungumzo yanavyoendelea utaona kama mzungumzaji anafanyiwa interview ama interrogation. Muulizaji anayarudiarudia majibu ya mzungumzaji, hiyo inaonyesha kuwa huyu jamaa kosewa rushwa na wanao mrekodi.

Hapa hali ni Rushwa You ya Rushwa, huu mtego utawakumba wengi CCM na CHADEMA
 
Jinga sana huyu ni mnafiki sana


Swissme
 
Halafu huyu anadanganya umma wa Watanzania eti anainyoosha nchi! Kumbe yuko busy kusambaratisha upinzani kwa kutumia ajira za Serikalini ambazo zinatokana na kodi ya walipa kodi nchini.

Msikilizeni huyu mnafiki hapa.


Mnafiki tu.


Swissme
 
Makinikia nitatungia mapini pia....Roma mkatoliki
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shukrani sana Mkuu.


Dah!!!kweli maneno ya mtu mzima yanaishi...kinachotokea ni hiko hiko kinachosemwa humu na watu sio wabunge sio mawaziri wote wanamgwaya huyu jamaa.
 
Nilichokiona leo kupitia hivi video vimenichosha na sijui imani kwa watawala itatoka wapi. Ni aibu kubwa. Sasa hapa naona itabidi tutawaliwe kwa nguvu
 
Back
Top Bottom