RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

RC Gambo ndani ya sakata la rushwa Arusha

Yaani hiki Chama hakina watu makini hata kidogo. Hivi mnawezaje kuleta video ambayo inaonesha ni ya mwaka 2008?
 
Mmmh hapa kazi ipo, Nimekumbuka mwalimu wangu wa physics kule special school aliposema ujio wa Albert einstein ,Concept za newton zilikuwa challenged sana, ila kikubwa newton na einstein ni vizazi viwili tofauti sana, einstein alikuja miaka 300 baadae sana ndio sasa mambo ya sasa yatakuwa challenged miaka 3 ijayo bado kidogo sana sana
Pengine unakosea kitu ambacho kilianza kosewa kwa mwalimu wako. Na hii ndo shida ya wajamaa.Na wasomi wa ccm wanharibu sana fikra. Einstein alikuwa endeleza concept za newton ili ziweze apply ktk mazingira tofauti.Ktk physics kuna vitu huwa vintajwa kuwa constant ua vinakuwa ignored. Kukurahisishia tuu ni km Yesu alivyosema hkuna pindua torati ila kuikamilisha. Torati ilikuwa ya wayahudi pekee ili kuwafikia watu wengine ndipo iliongezewa zaidi .Mfano badala ya kusubiri ili umpige jiwe mzinzi, ni bora mzinzi akakumbuka hata kuangalia kwa matamani tuu tayari kazini, ili kumuua mtu unahitaji kuanza mchukia. Kwa newton, sheria zake zili apply kwa speed ya kawaida ktk mazingira ya dunia. Sayansi ina mahusiano makubwa sana na Ukristu. Yesu alipomwambia yule mwanake pale kisimani kuwa siku zaja waabuduo wa kweli hawataabudu tena kwa kuangalia yerusalem au ktk hii milima. Alikuwa anaandaa Ukristu kwenda mbali zaidi.Zi unajua dunia ilivyo?Alijua kuna sehemu ya dunia itakuwa ngumu kuangalia milima na yerusalem. Alijua kuna siku haitokuwa rahisi kuangalia angani na ikawa angani katk sehemu tofauti duniani. Alijua watu watakwenda space. CCM bado wanaangalia madhabahu yao ambayo ni very local.
 
Akili MUFILISI hizi!

Baada Mbunge Joshua Nassari akishirikiana na mwenzie wa Arusha Godbless Lema kuja kile walichokiita ni ushahidi wa jinsi Madiwani wa Chadema waliorudi Ccm kuwa walinunuliwa, Taarifa za uhakika zinasema kuwa Chama hicho kipo kwenye mkakati mzito wa kutengeneza video zingine na kuzisambaza kwa nia ya kuwaaminisha Watanzania kuwa Ccm inanunua Madiwa ili kupata huruma ya wananchi.

Aliefichua siri hiyo ni Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Simon Msigwa kwenye moja ya makundi ya WhatsApp ya wanachama wa Chama hicho na kwamba safari hii video zitakazotengenezwa zitalenga kumuhusisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo.

My take:
Chadema inakokwenda itabaki zilipendwa.
 
Mkuu hiyo video pale Takukuru itaishia mapokezi ni kama inakosa uwiano wa wahusika na " wakati "!
Ndio maana nakusisitiza utumie akili,takukuru sio lazima wapelekewe ushahidi wa moja kwa moja,hata viashiria tu vinatosha wao kupata pa kuanzia,upo?
 
TAKUKURU ikichukua hatua bila kupindishapindisha hii ishu nitaamini kitu fulani
 
Ndio maana nakusisitiza utumie akili,takukuru sio lazima wapelekewe ushahidi wa moja kwa moja,hata viashiria tu vinatosha wao kupata pa kuanzia,upo?
Yaishe mkuu, Nasssri ameshanijibu kiungwama kabisa kwamba hata yeye alijaribu kuifuta ile 2008 wakati anarekodi lakini alishimdwa kwa sababu yeye si mtaalamu wa IT!
 
Yaishe mkuu, Nasssri ameshanijibu kiungwama kabisa kwamba hata yeye alijaribu kuifuta ile 2008 wakati anarekodi lakini alishimdwa kwa sababu yeye si mtaalamu wa IT!

2008 mnyeti alikuwa na cheo gani.Tuanzie hapo masna watu wanafocus kwenye tarehe kuliko content
 
Sikuwahi kuwaza awamu hii itapambana na Ufisadi na badala yake awamu hii ndio itakuja kuonekana kufanya UFISADI wa kutisha kuliko awamu nyingine zote. Muda ni mwalimu mzuri sana!
 
Back
Top Bottom