AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,647
- 4,753
WEWE NI NANI MPAKA USIKIE ALICHOONGEA MAKAMU WA RAISI NA RC GAMBO..!?
Wewe hawezi kupata kazi nchi hii kwa mawazo hayo labda ubadilike au ukajifunze garage, kama unasoma unapoteza muda kwa mawazo hayoWEWE NI NANI MPAKA USIKIE ALICHOONGEA MAKAMU WA RAISI NA RC GAMBO..!?
Personal issues hazipaswi kuletwa kwenye kaziNi kweli kama mbunge mwenyeji alistahili kupewa nafasi ya kuwasalimu na kuwapa pole wapiga kura wake katika msiba huo mzito
Lakini tukumbuke mkuu wa mkoa naye ni binadamu, huwezi mtukana matusi ya nguoni kiongozi mwenzako, bila hata kuomba msamaha, leo unataka utu wako hueshimiwe wakati wewe uheshimu utu wa kiongozi mwenzio
Mbunge wa Arusha alikosea sana pale alipomtolea kashfa kiongozi mwenzie, anapaswa amuombe radhi mwenzie, mambo yaishe wafanye kazi pamoja katika kuwaletea maendeleo wana Arusha
?????????Who's know tomorrow?future is a mystery!..
Wangesaini kitabu cha maombolezo, hiyo inatosha, zaidi ya hapo ni ujinga wa kufanya msiba uwanja wa siasa.Mkuu zaidi ya hao wanasiasa waliokuwepo jukwaa kuu hukuona umati wa wananchi ulifurika uwanjani?
Kama uliuona basi elewa kuwa si ITIFAKI wananchi wote wale kunyimwa haki ya kuongea.na sio ITIFAKI kuongea wote kwa pamoja .
SAUTI zao zingewakilishwa ma VIONGOZI wao waliowachagua ambao ni MEYA wa jiji MBUNGE wao
Makamu wa Rais alipaswa kuonesha kwamba kakerwa na Gambo kwa kuwapa nafasi Lema na Meya kusalimia mara tu alipokaribishwa.Hii ingesaidia sana kulinda heshima yake kwa wateule hawa na hata kwa mteuzi mwenyewe.Pia Rc huyu angepata meseji ni jinsi gani mama Samia kachukizwa na upuuzi wake kiasi cha kuvunja protocal ili tu asimamie alichokiona kinafaa.Gambo anapewa kiburi na Rais,ndio maana kapata nguvu ya kumdharau Makamu wa Rais.
Mkuu umeelewa kweli kilichoandikwa ama ndio fasta ya buku saba za lumumba!?Toeni upuuzi wakufanya siasa katika kila jambo kwani mbowe ni nani mpaka ampangie mkuu wa moa chakufanya.?
Kwa kweli mi naona aibu sanaaa, Kwanza wengine ifahamike maiti ikwa tayari, kisha ikawa haiziki bali zaendelea ngonjera nyiiingi twaona ni kama kumnyima haki yake ya msingi ya kuwahishwa kuzikwa, Zikeni kisha endeleeni kuongea hadi asubuhi hakuna noma, hekima ni kuweka jambo mahali pake! Binafsi namwomba Allah awapokee maiti wetu, atujaze subra kwa msiba huu, atupe badala iliyo ya kheri zaidi kuliko alowachukua, YAA ALLAH WALA USITUFARAKANISHE KUPITIA MTIHANI HUU ULOTUPATIA.............................Amen.Watu kutojiuliza haya maswali, imenifanya nianze kuogopa sana kama taifa tunaelekea wapi au labda tumefika wapi. Kutwa mijadala yetu ni mambo ya kitoto tu.
ķiki kwa faida gan?tulipanga folen kumchagua na ndio mwakilishi wetu,mkuu wa mkoa tumeletewa tu..acheni ubaguzi.Chagueni sasa
kati ya Mbowe na Lema yupi awe muongeaji misibani
maana Hata kwenye msiba mnatafuta kiki
chukua likes zote!Swali la muhimu kabisa, tutadhibiti vipi hizi ajali,silioni.
Ila nani aliitwa kutoa ngonjera na nani hakuitwa naona sana mazungumzo yake.
Inaonyesha jinsi gani jamii yetu inavyojali ngonjera na risala kuliko kutatua matatizo.
mtu wa meza kuu karibu na makamu wa rais hawezi kuandika haya uliyoyaandika!Ndani ya Sheikh Amri Abeid Arusha. Kuaga miili ya waliofariki kwenye ajali ya basi dogo. Watu 35 wakiwemo wanafunzi 32, walimu 2 na dereva 1 wa Shule ya Lucky Vicent.
Nilikuwa Jukwaa kuu. Karibu na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan. Muda wa salamu za rambirambi ukafika. Wakuu wa kiserikali na kisiasa wakawa wanakaribishwa. Mkaribishaji ni RC Mrisho Gambo wa Arusha. Mwenyeji
Wasaidizi wa Mama Samia wakapata ujumbe mfupi kutoka kwa Mbowe. Wakamletea Mama Samia. Mama Samia akamuagiza mmojawapo amuite RC Gambo ili amuagize jambo. Jambo muhimu la kisiasa na kiserikali. Amri
Mama Samia,Gambo alipokuja, akamuagiza Gambo awaongeze Mbunge Lema na Meya Lazaro kwa watoa salamu za rambirambi. Wakati huo,mzungumzaji alikuwa Ndugu Simbachawene. RC Gambo akatikisa kichwa kumkatalia Mama Samia. Akina Lema hawakuongezwa
Amri ikakataliwa. Mamlaka ikakosewa. Kinachotakiwa sasa ni kumuondoa Gambo kwakuwa Makamu wa Rais,kama taasisi ya pili ya juu nchini,lazima alindiwe heshima yake. Who is RC!?
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
wewe ndio ziro kabisa.Mimi sikuona umuhimu wa mtu alievaa gwanda la chama kuzungumza pale, kwanza angejitambua kuwa alipaswa kujiheshimu yeye kwa kuvaa mavazi yanayoendana na shughuli husika ndio aombe kuheshimiwa,
Yanayoendelea arusha RC ndio anayajua,
Na mtu anaekuja kichama kwenye business ya kitaifa ni wa kupigwa chini tu.
Gambo anapewa kiburi na Rais,ndio maana kapata nguvu ya kumdharau Makamu wa Rais.
Ni kweli kama mbunge mwenyeji alistahili kupewa nafasi ya kuwasalimu na kuwapa pole wapiga kura wake katika msiba huo mzito
Lakini tukumbuke mkuu wa mkoa naye ni binadamu, huwezi mtukana matusi ya nguoni kiongozi mwenzako, bila hata kuomba msamaha, leo unataka utu wako hueshimiwe wakati wewe uheshimu utu wa kiongozi mwenzio
Mbunge wa Arusha alikosea sana pale alipomtolea kashfa kiongozi mwenzie, anapaswa amuombe radhi mwenzie, mambo yaishe wafanye kazi pamoja katika kuwaletea maendeleo wana Arusha
Ha ha ha
RC wa Arusha,
RC wa Dar