MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,081
- 35,385
Gambo anadhani atakuwa mkuu wa mkoa Milele labda
Mlisema na mtaendelea kusema
Kwani Lema anadhani atalilia kuongea Misibani milele?
Gambo anadhani atakuwa mkuu wa mkoa Milele labda
Team Utoto hilo hawalijuiKiutawala mama samia yupo chini ya mkuu wa mkoa na mratibu wa shughuli za msiba ni mkuu wa mkoa na kamati yake
Ngoja tumchonganishe na Mange na Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima atakoma.Mmeona mmemshindwa makonda mmehamia kwa gambo. Anafuata sijui atakua nani?
Sijasema ajali zitakosa kuwepo, wapi nimesema hilo?
Nguvu za kiume???Punguza povu kamandaPumbavu, unajua Mh. Lema ni nani Arusha? Huyo Gambo mwenyewe hana nguvu aliyonayo mbunge wa kuchaguliwa kwa kura za wananchi wa Arusha.
Kusema kwamba Mbowe alishawakilisha upinzani ni sawa lakini ikumbukwe kuwa Lema ndiye mbunge mahalia na alistahili kutoa pole kwa wafiwa ka niaba ya wapiga kura wake kama mbunge wa jimbo la Arusha.
Kama hasikilizwi na hawamheshimu kwa vile wanabebwa na mzee mwenyewe basi aachie tuu ngazi kamaalivyo taka kufanya wakati ule
Kama huna hoja kojoa ulaleHivi Huyo meya au mbunge angeenda kuongea angerudisha Roho za marehemu?
Acheni siasa kwny majonzi
Nguvu za kiume???Punguza povu kamanda
Kama kila mtu akitaka kutoa pole mpaka muda huu tungekuwa uwanjani.
Acheni kutumia misiba kutafutia kiki,mwambie Lema aende akawape pole wafiwa majumbani mwao,mbona Makamu wa Rais amefanya hivyo.
Hebu kuweni na utu jamani hamjali machungu ya wafiwa mnadai vipaza sauti tu
Swali la muhimu kabisa, tutadhibiti vipi hizi ajali,silioni.
Ila nani aliitwa kutoa ngonjera na nani hakuitwa naona sana mazungumzo yake.
Inaonyesha jinsi gani jamii yetu inavyojali ngonjera na risala kuliko kutatua matatizo.
Huyu rais wa ajabHuu Uzi wapuuzi wa LUMUMBA lazima waushambulie, hawana hoja sasa wanaongoza kwa vioja, ni kweli hata Lema angeongea wadogo zetu, kaka yetu na walimu wetu wasingefufuka, lakini ile busara tu ya kutaka undugu na Utanzania uwe imara,kulikuwa na shida gani RC kumuita Mbunge atoe neno, hata kwa dakika moja........CCM acheni hizo, mkisema CDM wanatafuta kiki kupitia msiba,mjitazame upande wenu........SIASA uchwara mnazofundishwa na baba yenu zinaliangamiza TAIFA.........taratibu kama moto wa nyikani, muda si mrefu msitu unateketea.
Huyu rais wa ajabu dikteta magufuli aliwakataza ccm kushirikiana na upinzani kwa shida na raha.....tunaona chuki za wazi kabisa bungeni ccm wakikataa kuwatetea watz.....ona kwenye msiba.....pale mwenyeji ni mbunge aliyechaguliwa na wananchi ilitakiwa ndo aongee na sio mtu mwingine yeyote.....Huu Uzi wapuuzi wa LUMUMBA lazima waushambulie, hawana hoja sasa wanaongoza kwa vioja, ni kweli hata Lema angeongea wadogo zetu, kaka yetu na walimu wetu wasingefufuka, lakini ile busara tu ya kutaka undugu na Utanzania uwe imara,kulikuwa na shida gani RC kumuita Mbunge atoe neno, hata kwa dakika moja........CCM acheni hizo, mkisema CDM wanatafuta kiki kupitia msiba,mjitazame upande wenu........SIASA uchwara mnazofundishwa na baba yenu zinaliangamiza TAIFA.........taratibu kama moto wa nyikani, muda si mrefu msitu unateketea.
Ralph Nader, Mmarekani mwanaharakati aliyepata kugombea urais wa Marekani, miaka ya nyuma sana, alichunguza jinsi watu wanavyokufa kwa ajali za magari.Exactly, hujasema hazitakosa kuwepo ,Lakini umesema watu waache kujadili "kisicho cha kawaida" kilichotokea lakini wajadili kutatua "tatizo la ajali za barabarani" .......nikosoe kama nimekosea
Ndipo mimi nikakuambia, ajali zipo na zitaendelea kuwepo kwa sbb zinahusiana moja kwa moja na udhaifu wa kibinadamu....!!
Watu kutojiuliza haya maswali, imenifanya nianze kuogopa sana kama taifa tunaelekea wapi au labda tumefika wapi. Kutwa mijadala yetu ni mambo ya kitoto tu.