RC Chalamila: Nahitaji Busara Kuuongoza Mkoa wa Mwanza

Ila huyo Chalamila dish lake limeyumva si kawaida .....angalia kile kichwa chake lazima alikunywa yale maji na kubanwa siku ya kuzaliwa sio kwa ropo ropo ile
 
Bahati mbaya unaweza kutu unaowamba wakuongezee busara nao hawana hizo busara
 
Mie aiseee namwomba kwa kutumia staili yake ya umwamba, alotumia Mbeya, aje asafishe mji wa Mwanza yaani ni karahaaa hakupitiki........ yule aliye kuwa wa Dar,naona yeye kama yalimshinda......kazi kwelikweli.
Na 'Wasukuma' watamkoma hakyanani.
 
Mods kwanini mmebadilisha heading yangu? Headinga yangu ilikuwa inasomeka hivi "KUMBE WALIKUWA WANAJUA WANAONGOZA BILA HEKIMA/BUSARA"
 
Ongoza kwa kufuata miiko za Uongozi acha uoga, acha kutafuta kiki, acha kutetemeka naamini utaongoza vizuri tu
 
Huyu hapa
Your browser is not able to display this video.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…