benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Kutokana na hatua hiyo, RC Chalamila amesema amefanya ziara ya ukaguzi wa miundombinu ya reli na treni hiyo leo ili kuzungumza na abiria wenyewe wamueleze kero na changamoto wanazozipitia.
“Mheshimiwa Rais Samia ameona Watu ambao wanadandia hii treni na alipokuwa ameona hilo na ndiye aliyeniambia ebu fuatilia hilo, hiyo treni ikoje kwahiyo mguu huu ni mguu wa Rais Samia Suluhu Hassan yeye ndiye aliyeliona hilo na ameona Watu wakidandia usiku usiku na nimekuwa nikipigiwa simu
Millard Ayo