RC Arusha Aponea Tundu la Sindano!

RC Arusha Aponea Tundu la Sindano!

Meitinyiku L. Robinson

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
412
Reaction score
90
Katika hali ya kudhihirisha namna Bwana huyo alivyo mnyama na asivyokuwa na ushirikiano na viongozi wenzie, hivi majunzi Bwana Magesa Mulongo aliandaliwa janga ambalo asingeweza kusahau maishani mwake.

Magesa Mulongo alikuwa aingie mikononi mwa TAKUKURU bila chenga na mikakati yote ilikuwa imeshakamilika na aliyekuwa anafanya mikakati yote hii ni Kiongozi mwenzie mwandamizi, jasiri, na mwenye uwezo wa kuthubutu na asiyeyumbishwa na hila, fitna na kiherehere cha Magesa.

Jiji hutoa vibali vya tenda kwa watu mbali mbali wanaoomba tenda hizo; sasa kuna swala la mabango ambapo kuna mtu aliomba na akapewa cha kusikitisha mtu mwingine akatumia mgongo wa Magesa akimshawishi kwa Mlungula na jamaa alivyo na tamaa akaingia kingi na kutaka kuanza kuyumbisha maamuzi yaliyokwisha tolewa ama kufikiwa na vikao husika.

Hapo ndipo huyu mwanamama alipoamua kuingia kazini na kumtumia Magesa ujumbe kupitia wapambe wake kwamba kama alizoea hiyo tabia kwa wengine yeye hayuko hivyo na waheshimiane kila mtu kwa nafasi yake. Magesa amweshimu sana RSO aliyenyaka habari hizi mapema na kuamua kumkimbilia huyu mwanamama na kumwomba radhi ili aachane kabisa na mpango aliokuwa nao wa kuhakikisha Magesa ananyakwa na vijana wa Dr. Hoseah hapo ndipo mwanamama huyu alipolegeza makali yake under conditions kwamba Magesa aonywe na ache tabia zake zisizo na kichwa wala miguu na amkome kabisa.

Ndgu Mulongo ujumbe wangu ni huu kumbuka ulivyomtesa na kumsumbua sana aliyekuwa Ag. Director hapo Arusha Bwana Mkombole ulivyo na roho mbaya na usivyojua kufuata taratibu ukataka asipewe na Ukurugenzi bila kujua dogo ni homeboy wa Hawa Ghasia ndo mana Hawa alikuwa akija Arusha kwenye mambo ya Itifaki wewe ulikuwa unapigwa benchi na anapokelewa Mkombole wewe unapewa taarifa dogo akakutunishia -misuli mbaya kabisa na sasa hivi ni Mkurugenzi Babati. Bado ukashawishi Madiwani wamwandalie ajali Madiwani wakakugeuka kwa kuona jinsi akili yako ilivyofupi.

Leo hii tena unataka kuendeleza uzindaki wako aiseee mi nadhani kama JK alikupatia Job description embu rejea ukaisome au jikumbushe maneno aliyokuwa anakuambia wakati akikutengenezea tai ulipokuwa unaapishwa Ikulu manake utagharamika na sasa hivi mpaka ma'DC hawataki kabisa kukusikia na wanajua utakapoangukia muda si mrefu. Arusha utaondoka ila isiwe kwa aibu za namna hii. Tunajua lile Shamba lako la Ilboru ulilonunua zaidi ya Milioni 60 na mengine mengi siku zinahesabika.-

Acha mbwembwe na dharau sisi tulifikiri ni wananchi tu kumbe mpaka Viongozi wenzio waandamizi halafu huwa unakera sana pale unaposema vyanzo vyako vimekuambia a, b, c, d mbona kwenye hili vyanzo vyako havikukupa ushirikiano. Ukrya kwenu hapa kazi tu....... ........

Mama tunakupongeza sana yani mno; mfunze huyu adabu ajue umetoka mbali na hufanyi kazi kufurahisha mtu bali uwezo wako uheshimike iwe tunu kwa Taifa na familia yako.
 
Hosea na watu wake wasingethubutu kuchukua hatua yoyote. wanalindana hawa watu wa CCM.
 
Hosea na watu wake wasingethubutu kuchukua hatua yoyote. wanalindana hawa watu wa CCM.

You might be GM!
Ila tatizo huyu jamaa kachokwa
Na kila mtu aliyemsaidia ni RSO; Hoseah was ready! Mulongo bana utadhani ndiye anayemtawaza JK
 
huyu jamaa alipokuwa bagamoyo alikuwa mtu wa milungula balaa,amekula sana rushwa katika halmashauri ya bagamoyo,yeye anaomba rushwa kibabe kwa mkwara wa kukuharibia kazi,wizi wa bagamoyo wa mwaka 2009/2010 alimlazimisha mweka hazina ampe milioni 20 lakini mweka hazina akamwambia wanazo milioni saba ndipo jamaa alihakikisha hadi anawekwa ndani..ni mwizi tu huyu mbulula.
 
We shondola toa chuki zako binafsi na unafiki hapa jamvini. Ni wivu tu unakusumbua na watu wenye wivu huwa mnaishia kulalamika. Inaonekana uko hapo osifini kwa rc na unakerwa na jamaa kukalia hicho kiti. Utakufa masikini wewe kwa roho yako mbaya, toa shida zako na njaa zako hapa.

Kaka magesa tuko pamoja bwana, piga kazi watu wa arusha tuko nyuma yako. Wacha wenye wivu wajinyonge sisi tunakukubali.
 
Hosea na watu wake wasingethubutu kuchukua hatua yoyote. wanalindana hawa watu wa CCM.
Kulindana kuna mipaka mkubwa... Kumbuka hata Lowasa na JK urafiki wao si wa barabarani, lakini ilifika mahala ikabidi Lowasa ajiuzur.... Pamoja na kwamba kila alichokifanya JK alikuwa ana taarifa nacho
 
Nina amini kabisa kuwa kama nchi hii imewahi kuwa na RC mbovu basi ni Magesa Mulongo(Mwongo) wa Mkoa wa Arusha.
Huyu jamaa anaonekana kama vile akili zake hazimtoshi. The way he looks like inatosha kueleleza kuwa huyu mtu alizaliwa na mtindio wa Ubongo au aina fulani ya uzezeta. Mwangalie tu anavoonekana na anavoongea. Wakati wote huwa amekenyua meno kama Ngiri(Warthog)haijulikani kama anacheka au anatabasamu. Haeleweki!

Huyu RC hafai hata kuwa Balozi wa nyumba 10. Angalia na fuatilia matamko yake kuhusiana na milipuko ya Mabomu Arusha lile la Olasiti kanisani na lile la Soweto kwenye mkutano wa CHADEMA halafu unganisha na tukio la Chuo Kikuu Arusha wakti alipolazimisha kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Lema.

Kiwete anatakiwa kumwondoa huyu RC Arusha haraka sana vinginevo atazidi kuchafua hali ya hewa ya Jiji la Arusha. Mulongo hafai,hafai na hafai kuwa RC. Anaonekana kuwa mhuni fulani tu aliyepewa U-RC bila kuangalia vigezo na uzoefu wa nafasi hiyo nyeti!

Rais Kiwete anatakiwa kujua kuwa TATIZO la Arusha siyo Godbless Lema. Tatizo la Arusha ni Magesa Mulongo!
 
Gubu limemzidi sana huyu kiongozi na anapoongea mipu.a inampanuka kama nn
 
We shondola toa chuki zako binafsi na unafiki hapa jamvini. Ni wivu tu unakusumbua na watu wenye wivu huwa mnaishia kulalamika. Inaonekana uko hapo osifini kwa rc na unakerwa na jamaa kukalia hicho kiti. Utakufa masikini wewe kwa roho yako mbaya, toa shida zako na njaa zako hapa.

Kaka magesa tuko pamoja bwana, piga kazi watu wa arusha tuko nyuma yako. Wacha wenye wivu wajinyonge sisi tunakukubali.

Magesa mwenyewe akiiona hii post yako atajua unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

hakuna ofisi hata moja inayotaka kufanya kazi ya na uyu magesa, muda sio mrefu atarudishwa huko Pwani.
 
Huyu mkurugenzi wa jiji Sipora Liana huwa hataki korna korna,muda si mrefu Utasikia huyu B.ege kapigwa chini
 
Mbona tunaonea haya mchwa? Siyo watu wazuri hawa ukimwacha lazima alipize . Umesahahu Richmond?
 
Katika hali ya kudhihirisha namna Bwana huyo alivyo mnyama na asivyokuwa na ushirikiano na viongozi wenzie, hivi majunzi Bwana Magesa Mulongo aliandaliwa janga ambalo asingeweza kusahau maishani mwake.

Magesa Mulongo alikuwa aingie mikononi mwa TAKUKURU bila chenga na mikakati yote ilikuwa imeshakamilika na aliyekuwa anafanya mikakati yote hii ni Kiongozi mwenzie mwandamizi, jasiri, na mwenye uwezo wa kuthubutu na asiyeyumbishwa na hila, fitna na kiherehere cha Magesa.

Jiji hutoa vibali vya tenda kwa watu mbali mbali wanaoomba tenda hizo; sasa kuna swala la mabango ambapo kuna mtu aliomba na akapewa cha kusikitisha mtu mwingine akatumia mgongo wa Magesa akimshawishi kwa Mlungula na jamaa alivyo na tamaa akaingia kingi na kutaka kuanza kuyumbisha maamuzi yaliyokwisha tolewa ama kufikiwa na vikao husika.

Hapo ndipo huyu mwanamama alipoamua kuingia kazini na kumtumia Magesa ujumbe kupitia wapambe wake kwamba kama alizoea hiyo tabia kwa wengine yeye hayuko hivyo na waheshimiane kila mtu kwa nafasi yake. Magesa amweshimu sana RSO aliyenyaka habari hizi mapema na kuamua kumkimbilia huyu mwanamama na kumwomba radhi ili aachane kabisa na mpango aliokuwa nao wa kuhakikisha Magesa ananyakwa na vijana wa Dr. Hoseah hapo ndipo mwanamama huyu alipolegeza makali yake under conditions kwamba Magesa aonywe na ache tabia zake zisizo na kichwa wala miguu na amkome kabisa.

Ndgu Mulongo ujumbe wangu ni huu kumbuka ulivyomtesa na kumsumbua sana aliyekuwa Ag. Director hapo Arusha Bwana Mkombole ulivyo na roho mbaya na usivyojua kufuata taratibu ukataka asipewe na Ukurugenzi bila kujua dogo ni homeboy wa Hawa Ghasia ndo mana Hawa alikuwa akija Arusha kwenye mambo ya Itifaki wewe ulikuwa unapigwa benchi na anapokelewa Mkombole wewe unapewa taarifa dogo akakutunishia -misuli mbaya kabisa na sasa hivi ni Mkurugenzi Babati. Bado ukashawishi Madiwani wamwandalie ajali Madiwani wakakugeuka kwa kuona jinsi akili yako ilivyofupi.

Leo hii tena unataka kuendeleza uzindaki wako aiseee mi nadhani kama JK alikupatia Job description embu rejea ukaisome au jikumbushe maneno aliyokuwa anakuambia wakati akikutengenezea tai ulipokuwa unaapishwa Ikulu manake utagharamika na sasa hivi mpaka ma'DC hawataki kabisa kukusikia na wanajua utakapoangukia muda si mrefu. Arusha utaondoka ila isiwe kwa aibu za namna hii. Tunajua lile Shamba lako la Ilboru ulilonunua zaidi ya Milioni 60 na mengine mengi siku zinahesabika.-

Acha mbwembwe na dharau sisi tulifikiri ni wananchi tu kumbe mpaka Viongozi wenzio waandamizi halafu huwa unakera sana pale unaposema vyanzo vyako vimekuambia a, b, c, d mbona kwenye hili vyanzo vyako havikukupa ushirikiano. Ukrya kwenu hapa kazi tu....... ........

Mama tunakupongeza sana yani mno; mfunze huyu adabu ajue umetoka mbali na hufanyi kazi kufurahisha mtu bali uwezo wako uheshimike iwe tunu kwa Taifa na familia yako.

Hivi wale FBI alowaleta kuchunguza mlipuko wa BOMU soweto wameshaondoka???
 
Hawa ndio viongozi WAPUMBAVU anaowakumbatia Rais wetu JK na kufanya uongozi wake kwa ujumla uonekane hauna maana....Viongozi wapumbavu kama huyu mkuu wa mkoa hawana hadhi ya kuongoza watanzania wenye akili zao..! He better go back home and become a peasant

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Huyu tutamuondoa arusha kwani yeye aliletwa na atarudishwa tu.anajiita mulongo a.k.a muongo
 
ukiona hivyo ujue RC amewabana mbavu walaji... ninavyomjua mimi huyu bwana sasa ndiyo wamechokoza nyuki, watoto wenu hawataenda chooni, alipokuwa DC Bagamoyo waliwatimua kazi watumishi kadhaa, huyu jamaa huwa harudi nyuma.
 
Back
Top Bottom