Black Label
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 392
- 465
Mtoto wa mjini maana yake ni nini? Mtoto wa mjini nani?Amos Makalla ni mtoto wa mjini. Kaingia mjini kipindi Magufuli anaingia chooni peku huko Chato. Narudia Papaa Amos Makalla ni mtoto wa mjini na ameingia kwenye highest Echelons za CCM kipindi ambacho hujaanza hata kutembea mwenyewe.
Na kuwa mtoto wa mjini kunasaidia nini kiutendaji au kisiasa?