Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,404
- 3,566
Habarini wadau kwema wote humu, natumaini wote wazima humu Mwenye changamoto yoyote ya kiafya MWENYEZI MUNGU ATASAIDIA.
Niende kwenye mada Moja kwa Moja wadau natafuta kazi ajira yoyote kama naweza kupata ata connection mnaweza kunipa, kazi ni kipimo cha utu, napatikana Musoma kwa wadau wa wilaya yangu mnishike mkono mdogo wenu Nina miaka 27 jinsia ya kiume.
MWENYEZI MUNGU AWABARIKI NYOTE, 🙏🙏
Niende kwenye mada Moja kwa Moja wadau natafuta kazi ajira yoyote kama naweza kupata ata connection mnaweza kunipa, kazi ni kipimo cha utu, napatikana Musoma kwa wadau wa wilaya yangu mnishike mkono mdogo wenu Nina miaka 27 jinsia ya kiume.
MWENYEZI MUNGU AWABARIKI NYOTE, 🙏🙏