Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
- Thread starter
- #41
Utatoboa kaka kama nia ipo. Hata hivyo ukiweza kuishi bila kujali mitazamo ya wengine utafurahia maisha. Kama bati za kawaida zitafanya maisha yako yawe mepesi weka tu hizo hizo halafu ndani unaweka gypsum board ya maana!Nimepanga kupaua mjengo kwa bati ya msouth Versatile, nimeshapeleka mafundi wa kupaua watatu tofauti kupima na kufanya estimation ya gharama za material + ufundi, estimation zao hazipishani average ni = 17M...