Ratiba ya KOMBE LETU Iko Hivi

Ratiba ya KOMBE LETU Iko Hivi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Ratiba ya Mnyama Simba Baada ya Kutwaa Kombe la Afrika CAF Hapo Jumapili

1. Jumatatu Kombe litapelekwa Ikulu ya Rais Hussein Mwinyi Zanzibar

2. Jumanne Kombe litapanda Ndege Kuelekea Dar es Salaam na Kufikia Ikulu ya Rais Samia Suluu Hassan

3. Jumanne Hiyo Hiyo Kombe litaelekea Makao Makuu ya Msimbazi na Kulala Hapo Hapo na Mkesha Mkubwa Mnooooo

4. Jumatano Kombe litaelekea Bungeni Dodoma

5. Alihamisi Kombe litaelekea Chato Kwa Hayati John Pombe Magufuri

6. Ijumaaa Kombe litalejea Dar es Salaam. na Kupelekwa Makao Makuu ya TFF. Kisha Kulejea Msimbazi Kusubili Ratiba zingine

NA HUU NDO UBAYA UBWELA WETU MSIMU HUUU 🔥🔥💪
 
Ratiba ya Mnyama Simba Baada ya Kutwaa Kombe la Afrika CAF Hapo Jumapili

1. Jumatatu Kombe litapelekwa Ikulu ya Rais Hussein Mwinyi Zanzibar

2. Jumanne Kombe litapanda Ndege Kuelekea Dar es Salaam na Kufikia Ikulu ya Rais Samia Suluu Hassan

3. Jumanne Hiyo Hiyo Kombe litaelekea Makao Makuu ya Msimbazi na Kulala Hapo Hapo na Mkesha Mkubwa Mnooooo

4. Jumatano Kombe litaelekea Bungeni Dodoma

5. Alihamisi Kombe litaelekea Chato Kwa Hayati John Pombe Magufuri

6. Ijumaaa Kombe litalejea Dar es Salaam. na Kupelekwa Makao Makuu ya TFF. Kisha Kulejea Msimbazi Kusubili Ratiba zingine

NA HUU NDO UBAYA UBWELA WETU MSIMU HUUU
duh, bora we jamaa leo hujaandika ule mwandiko wako. yaani nashindwaga kusoma kabisa. au umecopy mhali?
 
Ratiba ya Mnyama Simba Baada ya Kutwaa Kombe la Afrika CAF Hapo Jumapili

1. Jumatatu Kombe litapelekwa Ikulu ya Rais Hussein Mwinyi Zanzibar

2. Jumanne Kombe litapanda Ndege Kuelekea Dar es Salaam na Kufikia Ikulu ya Rais Samia Suluu Hassan

3. Jumanne Hiyo Hiyo Kombe litaelekea Makao Makuu ya Msimbazi na Kulala Hapo Hapo na Mkesha Mkubwa Mnooooo

4. Jumatano Kombe litaelekea Bungeni Dodoma

5. Alihamisi Kombe litaelekea Chato Kwa Hayati John Pombe Magufuri

6. Ijumaaa Kombe litalejea Dar es Salaam. na Kupelekwa Makao Makuu ya TFF. Kisha Kulejea Msimbazi Kusubili Ratiba zingine

NA HUU NDO UBAYA UBWELA WETU MSIMU HUUU 🔥🔥💪
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
Screenshot_2025-05-18-12-05-22-14_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Makelele SC.
5. Malalamiko/Lia lia SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyang'au SC.
8. Manyaunyau/Mapaka SC.
9. Mazumbukuku SC.
10. Mwakarobo SC.
11. Mbeleko/Bebwa bebwa SC.
12. Manguruwe SC.
13. Miso Misonda SC.
14. Mikia SC.
15. Mbuzi SC.
16. Zuwena SC.
17. Khamsa Khamsa/5imba SC.
18. Kufa Kiume SC.
19. Kikanuni SC.
20. Bahasha SC.
21. Ngada SC.
22. Kolowizards SC.
23. Kamdomo SC.
 
Kwa kweli tunashukuru mambo yameenda tofauti na matarajio yao. Maana tungekoma! CHAWA wangetusumbua sana.
 
Ratiba ya Mnyama Simba Baada ya Kutwaa Kombe la Afrika CAF Hapo Jumapili

1. Jumatatu Kombe litapelekwa Ikulu ya Rais Hussein Mwinyi Zanzibar

2. Jumanne Kombe litapanda Ndege Kuelekea Dar es Salaam na Kufikia Ikulu ya Rais Samia Suluu Hassan

3. Jumanne Hiyo Hiyo Kombe litaelekea Makao Makuu ya Msimbazi na Kulala Hapo Hapo na Mkesha Mkubwa Mnooooo

4. Jumatano Kombe litaelekea Bungeni Dodoma

5. Alihamisi Kombe litaelekea Chato Kwa Hayati John Pombe Magufuri

6. Ijumaaa Kombe litalejea Dar es Salaam. na Kupelekwa Makao Makuu ya TFF. Kisha Kulejea Msimbazi Kusubili Ratiba zingine

NA HUU NDO UBAYA UBWELA WETU MSIMU HUUU 🔥🔥💪
kwishaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom