Rasmi nimeachana na mapenzi

Rasmi nimeachana na mapenzi

Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu. Hakuna vita isiyo na sababu.

Kama wewe sio mjeuri basi kiburi. Badilika mkuu.
 
Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu. Hakuna vita isiyo na sababu.

Kama wewe sio mjeuri basi kiburi. Badilika mkuu.
Wala mimi siyo kiburi mwenzangu ndiyo siyo muelewa
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Safi
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
njoo PM chap
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Mtekenyo ukianza utatafta mboo tuuu, lasivyo utajitia tango, usingo ni mbaya mno asikudanganye mtu
 
Hapo vocha uloingilia hapa jamiiforum in this very minute kanunua mpenzi wako 🤣🤣🤣

Shenzi ukipata kingine Cha kuandika uje Ila huu ni utumboo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom