kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
- Thread starter
- #181
Pole sana mkuu utakuwa sawaMapenzi yanauma mkuu 🙌🙌🙌Jana nimelala kwa nguvu dawa Leo zimenishinda imebidi nipige wine nadhani usingizi utakuja ila ushuhuda nabaki nao
Pole sana mkuu utakuwa sawaMapenzi yanauma mkuu 🙌🙌🙌Jana nimelala kwa nguvu dawa Leo zimenishinda imebidi nipige wine nadhani usingizi utakuja ila ushuhuda nabaki nao
Subiri uchaguzi upiteKuweni makini na mapenzi,Aliyeimba tuzikwe wote ndo uyo uyo aliyeimba am single😸🙌. Enewei kwahiyo namba unaanza kugawa au bado bado 😋.
😁😁😁unanichekesha sana aiseeHapo vocha uloingilia hapa jamiiforum in this very minute kanunua mpenzi wako 🤣🤣🤣
Shenzi ukipata kingine Cha kuandika uje Ila huu ni utumboo
Si tulikubaliana kwamba no reform,no election, au wewe sio mwenzetuSubiri uchaguzi upite
😁😁😁unanichekesha sana aisee
Unawajua fisiemu wewe uchaguzi utafanyika hata kwa mbindeSi tulikubaliana kwamba no reform,no election, au wewe sio mwenzetu
Sasa mambo ya hao fisi wachana nayo,yatakuchosha bure, muda huu unahitaji ku-recover tu. Wewe wape au tupe nafasi raia wema tukusahaulishe mbwa yule. Masuala ya sijui nauli na nini weka pembeni, we gatch you 😎.Unawajua fisiemu wewe uchaguzi utafanyika hata kwa mbinde
YahPole sana mkuu utakuwa sawa
Nimefanyaje tena jamani😁😁Ila bint sayuni 😹😹
Uzuri hatujuani😁😁😁Sasa mambo ya hao fisi wachana nayo,yatakuchosha bure, muda unahitaji ku-recover tu. Wewe wape au tupe nafasi raia wema tukusahaulishe mbwa yule. Masuala ya sijui nauli na nini weka pembeni, we gatch you 😎.
Kwahiyo unataka kusema kwamba hili jambo linakufurahisha !, inabidi tujuane sasa 😌Uzuri hatujuani😁😁😁
Uko sahihi kabisa mkuuReal men tupo ndugu yangu ila shida hatunaga swaga na makeke. Hatuvai brand, Tiktok na Insta hatuzijui na mbaya Sana hata kuchonga ndevu hatuwazi. Tukiwapenda tunawajali Sana mpaka mnadhani labda kutupenda kwenu ni bahati kwetu so mnaanza kulinga. Kawaida yetu, nice men with sigma mentality tukiamua kuondoka tunaondoka na tunakuachia laana ya kutokuja kumpata huyo mwanaume unayemuwaza.
NB. Kila anayelizwa na mapenzi leo, alishawahi kukutana na mtu sahihi akamchezea.
Hakika mkuuUkiona utu wako unaathiriwa, ondoka, ila watu ndo wanazingua