Rasmi nimeachana na mapenzi

Rasmi nimeachana na mapenzi

kiss ov love

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
9,363
Reaction score
16,092
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Mweeee! Wee sii ulisema kuwa ni sista sasa mpenzi katokea wapi tena?
 
Ukiona vita kwenye mahusiano kuliko maelewano ujue huyo si wako! Mahusiano ni kuheshimiana, kupendana, kujaliana, chako chake, chake chako/ usiegemee upande mmoja

Bila kusahau wote kumwomba mwenyezi Mungu/Kuwa mnafanya ibada hakika mtafika mbali!
Nadhani hakuwa wangu huyu Mungu atanipa mume mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom