Rasimu Mpya ya Katiba: Kazi za TAKUKURU sasa kufanywa na Jeshi la Polisi?!!

Takukuru wanafanya kazi nzuri sana tatizo ni Political will ya watawala,Chombo hichi kisingeweza kuwepo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano kwa sababu Si suala la Muungano ndo maana hata sasa Zanzibar hakuna ofisi za Takukuru.
 
Hao walioko kwenye TAKUKURU kwa sasa, hawana moral standing ya kutetea uwepo wa chombo chao kikatiba. Kwa kukubali kusafisha wapokea rushwa wakubwa serikalini, wamethibitisha hawafai. Tutawasikilizaje watu kama hao? Waache wakose kazi.
Uko sahihi lakini kumbuka tunatengeneza kitu cha kudumu kwa miaka mingi ijayo! Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa sana ku-reform na ku-restructure taasisi hii na ikaweza kutekeleza kazi zake kwa ufanisi!
 
​Ndiyo sababu tunataka iwe ndani ya katiba mpya ili kuepuka kuwa chombo cha kulinda chama tawala!

Kama suala la chombo cha kupambana na rushwa Katiba iko kimya, basi tume ya Warioba haikusikiliza maoni yetu; mimi nilitoa maoni juu ya rushwa na kutaka chombo huru cha kupambana na ufisadi kitachowajibika kwa Bunge.
 
Suala sio ifutwe eti kwasababu tu wanawasafisha wala Rushwa.Jambo la msingi Ni kutoa mamlaka huru kuwashughulikia wote wabadhilifu.Lakini pia ningependa kusema, uongozo ktk Taasisi hii hubadililika, na mwenye mamlaka ya kumsafidha au kumuwajibisha mtuhumiwa bila shaka Ni kiongozi mkuu wa Taasisi.Sidhani kama utendaji mbaya hufanywa na wote watumishi PCCB. Hivyo Ni suala la marekebisho kimuundo hata mamlaka wanayotakiwa kupewa chombo hiki
 
Kama suala la chombo cha kupambana na rushwa Katiba iko kimya, basi tume ya Warioba haikusikiliza maoni yetu; mimi nilitoa maoni juu ya rushwa na kutaka chombo huru cha kupambana na ufisadi kitachowajibika kwa Bunge.

Tume ya Warioba ilisikiliza maoni yako na imeyafanyia kazi, soma ibara ya 188 hadi 193 ya rasimu ya Katiba. Nimepitia na katiba ya Kenya nao wanachombo kama hicho ambacho kimeanzishwa chini ya Ibara ya 79 ya katiba yao. Tofauti ni majina tu lakini majukumu yake ni sawa na yale ambayo rasimu ya Katiba yetu imeyaorodhesha. Kwa kule Kenya iliyokuwa Kenya Anti- Corruption Commission (KACC) ndiyo imewekwa kwenye katiba na libadilishwa jina na kuitwa Ethics and Anti - Corruption Commission (EACC). Kwenye rasimu yetu chombo hicho kipo na kitaitwa Ethics and Accountability Commission (EACC) na ni chombo cha JMT. Nahisi kinachowachanganya watu hapa ni jina tu na kutokuwepo maneno Anti - Corruption kwani mazoea yana taabu. Hivyo ndugu Wimana mchango wako Tume ya Warioba iliufanyia kazi. Hata mimi nawashukuru Tume kwani katika mchango wangu wa maandishi nilipendekeza kuwa majukumu ya TAKUKURU na Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa umma yaunganishwe na kutengeneza chombo kimoja chenye nguvu.
 
Kuacha kuweka chombo cha kupambana na rushwa kwenye rasimu ya katiba mpya kumenifanya nitilie shaka weledi na utashi wa warioba na wajumbe wenzake. Ni wapi polisi wanashughulika na rushwa duniani? rushwa na maadili ni mambo nyeti yanayotoa mwelekeo wa nchi kimaendeleo, kiusalama na kiuchumi. Au Warioba et al wamekusuddia kutumia polisi wa wapi? ni hawa wanaotembea na vichwa na kubambika watu?, wanaotumia magari ya serikali kusafirishaa bangi?, wanaoua wananchi ovyo?, wanaoshirki ujambazi? ni jeshi la polisi ipi iliyokusudiwa na tume hii? pendekezo hili ni habari nzuri kwa wazee wa vijisenti vya rada,meremeta, green gold, mwananchi gold,cis, wapigaji wa halmashauri zetu,nk nk. Kuna tetesi eti Warioba ana bifu na PCCB kwa kumchunguza tuhuma za mwananchi gold na patna wake Mahalu kushtakiwa kwwa ubaddhirifu ubalozini. km kuna substance au la sio issue, nn mustakabali wa nchi hii?
 
[h=2]Why PCCB needs pride of place in Katiba draft[/h]
The proposed draft constitution has kicked off a flurry of commentary across the nation and beyond. Some concerns are real, others are misplaced; but in the end, they could all make for a better document when the zero draft is presented.

All this debate – even when some of the points being raised may appear trivial to some observers -- is healthy and will also make for a good final document. We thank Judge Sinde Warioba and his team for a job well done.
In our sister weekend edition of yesterday, we carried a front-page report in which we point to one grey area, namely, an apparent relegation of the country’s anti-corruption crusade to a footnote.

Indeed, the constitution draft seems to have either forgotten, or simply omitted one key institution in building a corruption-free country, the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB).
If the draft law is passed without any major amendments to this effect, we believe this country won’t have any credible anti-graft office – because it could then pass on to the police, where it will amount to nothing more than a footnote in an institution whose public image is anything but clean.

Let’s not mince words, our police force is itself tainted by corruption – and Judge Warioba has once put this on record for everyone to read. We therefore find it rather intriguing why the wise, seasoned judge and his team chose to almost ‘delete’ the PCCB as an independent public institution and pass it on to the police – who may gladly render it toothless.

Let’s also put the record clear. This is not a vote of no confidence against the police; all we are saying is that the police force isn’t tailor-made to fight corruption. So tasking the police with the anti-graft crusade is like thrusting a square peg into a round hole!

Secondly, the police force is already stretched to the limit – from petty crime to highway robberies, and from road accidents to white-collar thefts as billions of shillings are stashed away in foreign banks. We even doubt if they have gotten anywhere near to curbing, leave alone stopping, massive thefts.
To say that the police force has its plate full is to grossly understate its predicament. Its place is, in fact, overflowing – and you only need to pay a casual visit to our state guest houses – the remand cells – to see this point.

This country would do the police a great favour – if left to deal with their own agonies – by giving the task of dealing with the corrupt among us to freer and more competent hands.
Without assigning any faces, we believe that the PCCB deserves its pride of place in the constitution. Not just a mere mention; it also needs to be strengthened and given the autonomy to do a better job than hitherto.

Corruption is getting more and more sophisticated these days – and fighting it needs equally sophisticated ways of doing things. How will the overstretched police cope when they cannot even find transport to go scenes of crime?
In the face of growing corruption in our midst, the PCCB, or even a rejuvenated agency in its place, is what Tanzanians need if the fight against graft is to make any headway.

Tanzanians need and, indeed, want to see that their government is serious in fighting corruption. It sounds rather disingenuous when we start talking about the police taking the anti-graft brief.

We hope Judge Warioba and his team will have a second look and give PCCB its pride of place in the constitution.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
Hizi idara zingine bwana tabu tuu!! Kwanza ajira zake haziko clear

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Usalama wa Taifa ajira zake ziko clear? Kwa hiyo ifutwe kwa sababu ajira zake hazieleweki? Ikifutwa Takukuru polisi watafanya kwa ufanisi kazi hiyo?
 
Ki ukweli Chombo cha kuzuia Rushwa si vema kikawa na majukumu mengine yanayohusiana na utoaji wa huduma kwa jamii ili kisiwe na interests binafsi katika utendaji wao.Kwa hilo Tume imechemka
 
Hii inakuwa kama ni Mchezo wa kuigiza maana aliye propose kuanzashwa kwa PCB ilikuwa ni tume ya WARIOBA aliyependekeza Katiba ni yeye na kuisahau TAKUKURU ni tume iliyoongozwa na WARIOBA.Sijua kama viongozi wa Serikali ya Shirikisho watachunguzwa na chombo kipi kama suala la Rushwa halijawekewa msisitizo katika katiba ya Jamhuri sijui katiba za Washirika wa Muungano zitakuwaje na ni nani au chumbo kipi kitakuwa na mamlaka ya kufuatilia Rushwa katika Serikali ya Muungano
 
Hii inakuwa kama ni Mchezo wa kuigiza maana aliye propose kuanzashwa kwa PCB ilikuwa ni tume ya WARIOBA aliyependekeza Katiba ni yeye na kuisahau TAKUKURU ni tume iliyoongozwa na WARIOBA.Sijua kama viongozi wa Serikali ya Shirikisho watachunguzwa na chombo kipi kama suala la Rushwa halijawekewa msisitizo katika katiba ya Jamhuri sijui katiba za Washirika wa Muungano zitakuwaje na ni nani au chumbo kipi kitakuwa na mamlaka ya kufuatilia Rushwa katika Serikali ya Muungano

Mtoa uzi, kwa mujibu wa Rasimu ya katiba mpya, amesema kazi za PCCB zitafanywa na Polisi
 
Back
Top Bottom