Raphael Chegeni, ulijidai chawa na kutoa kejeli kwa Magufuli naona leo umeyapata majibu!

Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!

Amelala yooo
 
Kipimo gani icho kinaonesha kabila la mtu kwenye damu?
Katika vitu alivyofeli Mwalimu Nyerere ni kufuta adui ujinga.

Sasa wamezaliwa wajinga wengi zaidi tena wajinga wa kileo wana degree kabisa za University, na hii ni hatari sana kwa mustakabari wa Taifa.
 
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!

Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!

Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi.

Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses.

Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui!

Humuoni hata Kafulila, Msukukuma wa Kigoma katemwa! Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa!

Akili mkichwa!
Sahii kabisa
 
Hakuna cha hoja za ukabila ila ujue kabisa mama anajaza timu yake ya wavaa madera! Mfano mkuuwa mkoa wa mwanza Malima uwezo wake mdogo alishakuwa mara badae Tanga hakuna la Maana alilofanya tofauti na kuwa mtu wa ndumba na majini!
Nawewe si ukatafute hayo majini,ujipatie teuzi.
 
Hata waitara, mtatiro na waunga kuhusu wote wapo kimya wanalijua hili.
 
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!

Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!

Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi.

Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses.

Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui!

Humuoni hata Kafulila, Msukukuma wa Kigoma katemwa! Robert Gabriel msukuma wa Shinyanga naye katemwa!

Akili mkichwa!
Huenda alikupa mimba akakuacha!
 
Unajua nashindwa kumuelewa mama ANATAKA Nini!!

Kwanini anateua halafu mtu bado hajaanza Hata kazi anatengua!hajiamini!?amelogwa!?anasaidiwa kuteua!!?

Poa lakini;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!
Mamaaaae, misukule ya Jp sasa inataka katiba mpya! Ni heri nchi hii iongozwe na msomali kuliko sukuma
 
Hakuna cha hoja za ukabila ila ujue kabisa mama anajaza timu yake ya wavaa madera! Mfano mkuuwa mkoa wa mwanza Malima uwezo wake mdogo alishakuwa mara badae Tanga hakuna la Maana alilofanya tofauti na kuwa mtu wa ndumba na majini!
Umeongea ujinga,
 
1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
4)Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
5)Tabora-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu! Anajipanga kwa ajili ya kampeni utendaji zero!
Sasa mbona umetaja mikoa michache sana iliyopewa waislam? Mingne je? Udini unawapeleka sana nyie mafala
 
Nakwambia kateua wavaa madera wengi sana akijipanga kwa uchaguzi,pia tatizo la hawa ndugu zetu kazi hawawezi mswahili ndo jadi yao!
Mtakufa bure na kihoro cha udini, ktk taja idadi ya mikoa yote then ulete list yote uoneshe waislam na wakristo wengi ni wapi.
 
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!

Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!

Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi.

Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses.

Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui!

Humuoni hata Kafulila, Msukukuma wa Kigoma katemwa! Robert Gabriel msukuma wa Shinyanga naye katemwa!

Akili mkichwa!
CCM mnachambana!Wote ni matakulations tu.😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom