Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,109
- 3,489
Msukumamua😀😀Kafulila kumbe ni msukuma ?
Msukumamua😀😀Kafulila kumbe ni msukuma ?
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!
Katika vitu alivyofeli Mwalimu Nyerere ni kufuta adui ujinga.Kipimo gani icho kinaonesha kabila la mtu kwenye damu?
samia ni mdini,mbaguzi.
TEC susieni serikali yake mpaka atakapoondoka madarakani!
Sahii kabisaMkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi.
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses.
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui!
Humuoni hata Kafulila, Msukukuma wa Kigoma katemwa! Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa!
Akili mkichwa!
Jina tu hilo linaonesha ni msukumaNa Ali Hapi ni msukuma wa wapi? Maana naona sukuma gang mmepotezwa hadi mnaanza story za upotoshaji, eti Kafulila ni msukuma wa Kigoma!
Ndiyo,Msukuma aliyeloea Uvinza(Kigoma Kusini)Kafulila kumbe ni msukuma?
Nawewe si ukatafute hayo majini,ujipatie teuzi.Hakuna cha hoja za ukabila ila ujue kabisa mama anajaza timu yake ya wavaa madera! Mfano mkuuwa mkoa wa mwanza Malima uwezo wake mdogo alishakuwa mara badae Tanga hakuna la Maana alilofanya tofauti na kuwa mtu wa ndumba na majini!
TEC kususia kususia peke Yao haitoshi,wawashawishi waumini wao nao waachie ngazi.samia ni mdini,mbaguzi.
TEC susieni serikali yake mpaka atakapoondoka madarakani!
Kamuulize Eric Shigongo, aliwahi kulima mihogo huko .Walifikaje huko wakati unatakiwa kuwa na passport kuingia Zanzibar? Na, mbona hatuwasikii?
Huenda alikupa mimba akakuacha!Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi.
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses.
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui!
Humuoni hata Kafulila, Msukukuma wa Kigoma katemwa! Robert Gabriel msukuma wa Shinyanga naye katemwa!
Akili mkichwa!
Mamaaaae, misukule ya Jp sasa inataka katiba mpya! Ni heri nchi hii iongozwe na msomali kuliko sukumaUnajua nashindwa kumuelewa mama ANATAKA Nini!!
Kwanini anateua halafu mtu bado hajaanza Hata kazi anatengua!hajiamini!?amelogwa!?anasaidiwa kuteua!!?
Poa lakini;-
"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!
Umeongea ujinga,Hakuna cha hoja za ukabila ila ujue kabisa mama anajaza timu yake ya wavaa madera! Mfano mkuuwa mkoa wa mwanza Malima uwezo wake mdogo alishakuwa mara badae Tanga hakuna la Maana alilofanya tofauti na kuwa mtu wa ndumba na majini!
Sasa mbona umetaja mikoa michache sana iliyopewa waislam? Mingne je? Udini unawapeleka sana nyie mafala1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
4)Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
5)Tabora-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu! Anajipanga kwa ajili ya kampeni utendaji zero!
Mtakufa bure na kihoro cha udini, ktk taja idadi ya mikoa yote then ulete list yote uoneshe waislam na wakristo wengi ni wapi.Nakwambia kateua wavaa madera wengi sana akijipanga kwa uchaguzi,pia tatizo la hawa ndugu zetu kazi hawawezi mswahili ndo jadi yao!
CCM mnachambana!Wote ni matakulations tu.😂😂😂😂Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi.
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses.
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui!
Humuoni hata Kafulila, Msukukuma wa Kigoma katemwa! Robert Gabriel msukuma wa Shinyanga naye katemwa!
Akili mkichwa!