Maswali magumu kutoka kwa Rais Magufuli na majibu yake...

chikanu chikali

JF-Expert Member
Aug 29, 2017
1,141
1,826
Mhe Rais Magufuli akihutubia Ukerewe leo ameuliza maswali mengi yasiyo na majibu,

Mfano wa maswali hayo ni ; Nyerere aliacha meli 14 ktk ziwa Victoria, aliacha viwanda vingi nchini, lakini leo hii havipo vyote je tulikosea wapi? Vilienda wapi?

Naomba nikusaidie Rais kuwa vyote hivyo CCM waliviharibu kwa ufisadi, ubinafsi, sera mbovu za uwekezaji nk. Hivyo leo hii meli hazipo na viwanda tatizo ni CCM. Kama tunajenga Tanzania mpya bora ungeifuta CCM ili tuanze upya kwani CCM ni kama chombo cha kurudisha maendeleo ya Tanzania nyuma.

Ziara njema Magufuli Mungu akuongoze kuthubutu kufuta hiyo chama.

By mkulima wa uporoto
 
Mhe Rais jpm akihutubia ukerewe leo ameuliza maswali mengi yasiyo na majibu,
Mfano Wa maswali hayo ni ; nyerere aliacha meli 14 ktk ziwa Victoria, aliacha viwanda vingi nchini, lakini Leo hii havipo vyote je tulikosea wapi? Vilienda wapi?
Naomba nikusaidie rais kuwa vyote hivyo SISIEM WALIVIHARIBU KWA UFISADI, UBINAFSI, SERA MBOVU ZA UWEKEZAJI NK. HIVYO LEO HII MELI HAZIPO NA VIWANDA TATIZO NI SISIEMUUU. KAMA TUNAJENGA TANZANIA MPYA BORA UNGEIFUTA SISIEM ILI TUANZE UPYA KWANI CCM NI KAMA CHOMBO CHA KURUDISHA MAENDELEO YA TANZANIA NYUMA.
ZIARA NJEMA JPM MUNGU AKUONGOZE KUTHUBUTU KUFUTA HIYO CHAMA.
BY MKULIMA WA UPOROTO
Badala ya kuwambia wananchi hizo meli na viwanda viliishia wapi yeye anawauliza maswali!!

Ina maana yeye hajui....!!? Kama yeye hajui anategemea wananchi wa kawaida watajuaje!!?
 
Mhe Rais jpm akihutubia ukerewe leo ameuliza maswali mengi yasiyo na majibu,
Mfano Wa maswali hayo ni ; nyerere aliacha meli 14 ktk ziwa Victoria, aliacha viwanda vingi nchini, lakini Leo hii havipo vyote je tulikosea wapi? Vilienda wapi?
Naomba nikusaidie rais kuwa vyote hivyo SISIEM WALIVIHARIBU KWA UFISADI, UBINAFSI, SERA MBOVU ZA UWEKEZAJI NK. HIVYO LEO HII MELI HAZIPO NA VIWANDA TATIZO NI SISIEMUUU. KAMA TUNAJENGA TANZANIA MPYA BORA UNGEIFUTA SISIEM ILI TUANZE UPYA KWANI CCM NI KAMA CHOMBO CHA KURUDISHA MAENDELEO YA TANZANIA NYUMA.
ZIARA NJEMA JPM MUNGU AKUONGOZE KUTHUBUTU KUFUTA HIYO CHAMA.
BY MKULIMA WA UPOROTO
Mkuu kabla Nyerere hajangatuka uraisi tulikuwa na CCM,lakini karibu wafanyakazi wote wa serikali ,mashirika ya umma, pammoja na vyombo vya ulinzi na usalama walikuwa wanaCCM.
Kwa ufupi wananchi hao hao waliokabidhiwa madaraka,hawakuwajibika vilivyo.
Tusema anguko letu sio tu tatizo la Nyerere tu,kwani huyo Nyerere ndie alijenga na kuwashirikisha umma katika kujenga viwanda na meli za umma.Kuna kauzembe ka utanzania,tuna kasoro,tusisingizie jua kama mbaazi kukosa maua.
 
Mkuu kabla Nyerere hajangatuka uraisi tulikuwa na CCM,lakini karibu wafanyakazi wote wa serikali ,mashirika ya umma, pammoja na vyombo vya ulinzi na usalama walikuwa wanaCCM.
Kwa ufupi wananchi hao hao waliokabidhiwa madaraka,hawakuwajibika vilivyo.
Tusema anguko letu sio tu tatizo la Nyerere tu,kwani huyo Nyerere ndie alijenga na kuwashirikisha umma katika kujenga viwanda na meli za umma.Kuna kauzembe ka utanzania,tuna kasoro,tusisingizie jua kama mbaazi kukosa maua.
Sera za kijamaa ndilo lilikuwa tatizo la kufa kwa viwanda nchini. viwanda vngekuwa vya watu binafsi kukiwa na sera nzuri ya kodi visingekufa.
Ni vema kujua kwamba jitihada za kurejesha sera za kijamaa kwa sasa zitakuwa na mwisho uleule. private sector ni muhimu sana katika kuendesha miradi mikubwa kwani huko siasa sio nyingi na hivo serikali haitumbui wala kuteua teua hovyo huko!
 
WAkati ule kila penye kiwanda kikubwa kulikuwa na ofisi ya ccm na hapo kiwandani kulikuwa na cheo cha mwenyekiti ambaye kimsngi alikwa more political than economical/technical!
Amri nyingi zilikuwa zinatolewa na wanasiasa kuhusu uendeshaji, uchangiaji wa hata mambo ya hovyo kama sherehe, ajira za upendeleo based on nepotism n.k. kimsingi viwanda havikuwa na mwenyewe na hivi kila mtu alijichotea awezavyo. Hili lilikuwa zao la siasa mbaya za chama kushika patamu! Private sector ndo jibu sahihi kama ilivo kwa private schools. hakuna uzalendo kwenye mali ya umma!
Hata sasa nawashangaa sana wanaohangaika na chama eti chama chama chama hadi kununua wanasiasa kha!
 
Badala ya kuwambia wananchi hizo meli na viwanda viliishia wapi yeye anawauliza maswali!!

Ina maana yeye hajui....!!? Kama yeye hajui anategemea wananchi wa kawaida watajuaje!!?
Enzi za Nyerere serikali ilikuwa na nyumba nyingi sana kwa ajili ya watumishi wake! Hivi sasa nyumba hizo hazipo! JPM anatakiwa aeleze zilienda wapi?
 
Mhe Rais jpm akihutubia ukerewe leo ameuliza maswali mengi yasiyo na majibu,
Mfano Wa maswali hayo ni ; nyerere aliacha meli 14 ktk ziwa Victoria, aliacha viwanda vingi nchini, lakini Leo hii havipo vyote je tulikosea wapi? Vilienda wapi?
Naomba nikusaidie rais kuwa vyote hivyo SISIEM WALIVIHARIBU KWA UFISADI, UBINAFSI, SERA MBOVU ZA UWEKEZAJI NK. HIVYO LEO HII MELI HAZIPO NA VIWANDA TATIZO NI SISIEMUUU. KAMA TUNAJENGA TANZANIA MPYA BORA UNGEIFUTA SISIEM ILI TUANZE UPYA KWANI CCM NI KAMA CHOMBO CHA KURUDISHA MAENDELEO YA TANZANIA NYUMA.
ZIARA NJEMA JPM MUNGU AKUONGOZE KUTHUBUTU KUFUTA HIYO CHAMA.
BY MKULIMA WA UPOROTO
Mkuu wa kaya kasahau kutuelezaalichangia nini miaka 20 kwenye baraza la mawaziri. Kwa nini hakupingakuuzwa kwa nyumba za serikari?
 
Back
Top Bottom