Raphael Chegeni, ulijidai chawa na kutoa kejeli kwa Magufuli naona leo umeyapata majibu!

Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!
Sasa uchawa unaingiaje ikiwa mtu ni zero brain?

Ukiwa chawa wa Samia hakikisha uko vizuri kwenye kazi,uchawa tuu haiwezi kukusaidia..

Kazi iendelee
 
Na mikoa iliyobaki nonsense kabisa huu ni udini umekujaa iv kuna watu wa dini Fulani ndio wako kwa ajili ya uongozi..uongozi ni uwezo wa mtu na sio dini wala kabila hii ni propaganda mbaya Sana unayoileta
 
TAKUKURU mjiandae nadhani mmeona bosi mwenzenu wa magereza alivyonusurika kwa jinsi mnavyofanya KAZI nyie mnatakiwa kufutwa kabisa mmekuwa mnatesa watu kwa kesi za kisiasa
 
Huu upuuzi unaoongea hapa ni ule ule wa wajaluo wa Kenya wakati Obama kachaguliwa kuwa rais wa US, wakawa wanalazimisha ionekane ni ndugu yao. Hivyo na ww ili bandiko lako la uchuro lipate nguvu inabidi useme Kafulila ni msukuma. Sasa nimekuuliza Ali Hapi ni msukuma wa wapi?
Lakini haiondoi ukweli kuwa Baba yake Obama ni Mkenya.
 
1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
4)Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
5)Tabora-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu! Anajipanga kwa ajili ya kampeni utendaji zero!
Mmh!

Tuhuma kubwa sana hii mkuu.

Ila unajua athari zake? Ingawa sipo pamoja na huyu bi mkubwa ila hapa umeteleza mkuu.
 
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!
Mwanangu kua uyaone.
 
Na Ali Hapi ni msukuma wa wapi? Maana naona sukuma gang mmepotezwa hadi mnaanza story za upotoshaji, eti Kafulila ni msukuma wa Kigoma!

Sukuma Gang hatuwezi potezwa kijana mdogo ww,huoni viongozi wengi kwa sasa wanafanya harakati zao kanda ya ziwa ili kuiharibu Legacy ya mzee kidevu ila bado tu.
 
Sukuma Gang hatuwezi potezwa kijana mdogo ww,huoni viongozi wengi kwa sasa wanafanya harakati zao kanda ya ziwa ili kuiharibu Legacy ya mzee kidevu ila bado tu.

Dhalimu angekuwa anakubalika hivyo angepora uchaguzi? Eti kanda ya ziwa, CCM wenyewe ndio wanaogopa kivuli chao. Ile propaganda kuwa Magufuli alikuwa anakubalika kanda ya ziwa, wameifanya wenyewe na kuiamini wenyewe!
 
Screenshot_20220801-114954.png
 
Fatma Mwasa morogoro kobazi
Zenab Telack Lindi Kobazi

Homera Mbeya Kobazi
Kunenge Pwani kobaaz
Waziri kindamba Kobaz

Na wengine weeengi
 
Back
Top Bottom