Majibu ya Naibu Waziri wa fedha kwa Chegeni na hadithi ya Biblia

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,291
6,003
Katika Biblia iko hadithi ya mchungaji aliyewaacha kondoo wengi aliokuwa nao akaenda kumtafuta mmoja (one) aliyepotea.

Hadithi hii haiwagusi watu pale Hazina kama alivyoonyesha Naibu waziri wa Fedha wakati akimjibu Mh. Chegeni.

Majibu yake yanapingana na hadithi ya kwenye Biblia-haonyeshi kujali kuwa biashara zimefungwa badala yake anapata faraja na kusema kijivuni kuwa nyingi zimefunguliwa.

Kwa uhalisia tuna QUALITATIVE situation naye anatoa QUANTITATIVE response. Pengine atwambie thamani za biashara zilizofungwa na zile zilizofunguliwa labda tutaelewa.

Barrick afunge mgodi na tupate faraja kwa wachimbani wadogo 1000 kule iselamagazi wenye TIN tuseme tuko salama?
 
Hii ndo tanzania.
Wengiwalio madarakani hawaoni shida kuwabeza na kuwananga wanyonge ambao ndio hassa wamewaweka hapo
 
😂😂😂😂😂😂Tunapoelekea ni kwamba tukidai hakuna mikate kwa sababu ngano hamna viongozi watajibu tuanze kula chapati.
 
Tatizo lipo hapa. Jiwe hashauriki. Hata mawaziri wake wanatetea tumbo ila wanajua tatizo lilipo. Wanampigia tu makofi waiting 4 his fall.
 
Katika Biblia iko hadithi ya mchungaji aliyewaacha kondoo wengi aliokuwa nao akaenda kumtafuta mmoja (one) aliyepotea.

Hadithi hii haiwagusi watu pale Hazina kama alivyoonyesha Naibu waziri wa Fedha wakati akimjibu Mh. Chegeni.

Majibu yake yanapingana na hadithi ya kwenye Biblia-haonyeshi kujali kuwa biashara zimefungwa badala yake anapata faraja na kusema kijivuni kuwa nyingi zimefunguliwa.

Kwa uhalisia tuna QUALITATIVE situation naye anatoa QUANTITATIVE response. Pengine atwambie thamani za biashara zilizofungwa na zile zilizofunguliwa labda tutaelewa.

Barrick afunge mgodi na tupate faraja kwa wachimbani wadogo 1000 kule iselamagazi wenye TIN tuseme tuko salama?
Kwa hiyo aliyetoa majibu yale, yeye ukubwa wa biashara siyo ishu kwake... Kwake idadi ndo inamata... YEYE BACKRESA akifunga biashara zake hapa nchini na wakafungua wenye vitambulisho vya ujasiliamali vya JPM kumi kwake siyo ishu..
 
Katika Biblia iko hadithi ya mchungaji aliyewaacha kondoo wengi aliokuwa nao akaenda kumtafuta mmoja (one) aliyepotea.

Hadithi hii haiwagusi watu pale Hazina kama alivyoonyesha Naibu waziri wa Fedha wakati akimjibu Mh. Chegeni.

Majibu yake yanapingana na hadithi ya kwenye Biblia-haonyeshi kujali kuwa biashara zimefungwa badala yake anapata faraja na kusema kijivuni kuwa nyingi zimefunguliwa.

Kwa uhalisia tuna QUALITATIVE situation naye anatoa QUANTITATIVE response. Pengine atwambie thamani za biashara zilizofungwa na zile zilizofunguliwa labda tutaelewa.

Barrick afunge mgodi na tupate faraja kwa wachimbani wadogo 1000 kule iselamagazi wenye TIN tuseme tuko salama?
"Barrick afunge mgodi na tupate faraja kwa wachimbani wadogo 1000 kule iselamagazi wenye TIN tuseme tuko salama?"



Inawezekana tukawa salama kwa hicho kidogo,kwani toka barrick achimbe taifa halijafaidika kisawa na walichochuma ,ndio maana tukawaambia kunahitajika marekebisho,ni kama walikua wanachukua bure tu
 
Back
Top Bottom