Ramani ya Nyumba

Ramani ya Nyumba

Mkuu kama uko serious pm me.. Mie ni Architect na niko na consulting firm ya services hiyo na Quantity Surveying na Project Management.. Ukitaka officially pouwa ukitaka ya kiushkaji utapata.. Ntakukaribisha na kwa ofic uje kuona..

Je una ofic Mwanza me nipo mwanza
 
Mkuu, Mimi ni Mhandisi wa mambo ya ujenzi. Ramani ya nyumba huwa inapatikana kwa gharama na sio kutupia tu, halafu watu wachukue. Tafuta Architect akuchoree ramani unayotaka na uende na hela. Hapa utajaza post kwenye thread na hakuna utakachopata.

Kaka kwan hao wagunduzi wa mambo wangekua wameweka pesa mbele leo tungekua hapa
 
Mwenye utaalam aniwekee raman ya nyumba nzur ya kuish

Mzee unacopy na kupaste hadi kwenye nyumba za watu! LOL. Hizi ramani huwa zinauzwa bana na mimi binafsi naamini wewe kichwani mwako utakua na idea unataka nyumba yako iweje ili roho yako iridhike, sasa hizo ideas ambazo unazo ukikaa na mtaalamu ataziweka kwenye mchoro, kila mtu ana taste yake kuhusu ujenzi wa makazi, usichukue tastes za watu.
 
Mzee unacopy na kupaste hadi kwenye nyumba za watu! LOL. Hizi ramani huwa zinauzwa bana na mimi binafsi naamini wewe kichwani mwako utakua na idea unataka nyumba yako iweje ili roho yako iridhike, sasa hizo ideas ambazo unazo ukikaa na mtaalamu ataziweka kwenye mchoro, kila mtu ana taste yake kuhusu ujenzi wa makazi, usichukue tastes za watu.

Mkuu hiv unajua kuwa hao unaowaona wataalam pia huwa wanacopy na kupaste amin nakuambia kuna ofisi moja nlienda wakanitolea r
https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login
 
ramani ya nyumba inategemea unajenga wapi (mteremkoni au mlimani), matumizi yako binafsi(ukubwa wa familia) upepo unapotoka, njia kuu, sera ya eneo hilo (ghorofa au nyumba za chini) n.k hivyo tafuta mtaalamu (Archtect) akusaidie mi ninayo namba ya mmoja kama upo Singida
 
wewe mtakaji mwenyewe uko na nyodo sana mbona bule utaiweza wewe ??? hacha kua mkali umeomba tulia kua mpole....ili upewe baba.....

Nimekuelewa mkuu sijui upole unaoutaka ni upi basi sawa nimekuwa mpole ni2pie raman
 
ramani ya nyumba inategemea unajenga wapi (mteremkoni au mlimani), matumizi yako binafsi(ukubwa wa familia) upepo unapotoka, njia kuu, sera ya eneo hilo (ghorofa au nyumba za chini) n.k hivyo tafuta mtaalamu (Archtect) akusaidie mi ninayo namba ya mmoja kama upo Singida

wewe nipe ramani mambo ya kwamba nitajenga mliman/bonden/baharin au angan hio ni juu yangu
 
Ungekuwa Dar ningekushauri uende pale posta mpya mbele ya ofisi za mamlaka ya korosho Tanzania,kuna mchora ramani wa bei poa,yeye anauza kimachinga kabisa.

Asikwepe gharama kwani hata akiipata hiyo ramani lazima aepeleke ofisi za jiji ipitishwe kisha apewe building permit labda kama anajenga kwenye skwata
 
Mwenye utaalam aniwekee raman ya nyumba nzur ya kuish

Ninayo michoro ya kutosha na size tofauti, kama kweli ni muhitaji tuwasiliane PM for more information, siwezi kuiweka hapa kwani ipo katika vitabu. Utachagua uipendayo


MIZAMBWA
NABII MTARAJWIA!!!
 
Back
Top Bottom