Ramani ya Nyumba ya Kisasa: Vyumba 2, Jiko, Sebule na Choo cha Public pamoja na gharama

Ramani ya Nyumba ya Kisasa: Vyumba 2, Jiko, Sebule na Choo cha Public pamoja na gharama

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
7,435
Reaction score
20,927
Habari wakuu,
nawaletea Ramani hii hapa ya Vyumba viwili (Kimoja ni Master)
Sebule,
Jiko,
Na choo Cha public.
Ni ramani simple lakini ya Kisasa.

Ramani hii itachukua
Tofali 1,600
Saruji 30
Nondo 20
Mchanga mende 1
Kokoto gari 1
n.k
n.k

Ramani hii inakaa kwenye Eneo la Mita 12x10.

Karibu nikujengee nyumba yako, huduma ni ya kitalii ila bei ya Wazawa.

0624254690
Karibuni.

RRONDO
New project (12)_1.jpeg
 
Habari wakuu,
nawaletea Ramani hii hapa ya Vyumba viwili (Kimoja ni Master)
Sebule,
Jiko,
Na choo Cha public.
Ni ramani simple lakini ya Kisasa.

Ramani hii itachukua
Tofali 1,600
Saruji 30
Nondo 20
Mchanga mende 1
Kokoto gari 1
n.k
n.k

Ramani hii inakaa kwenye Eneo la Mita 12x10.

Karibu nikujengee nyumba yako, huduma ni ya kitalii ila bei ya Wazawa.

0624254690
Karibuni.

RRONDOView attachment 3512980
Samahani kidogo.. Kwa huo ujenzi wako hapo mchanga lazima kua na mende 1? Huwezi kujenga bila mende kabisa?? Nahofia asije kua jike eakazaliana wakala nyumba yote.
 
Habari wakuu,
nawaletea Ramani hii hapa ya Vyumba viwili (Kimoja ni Master)
Sebule,
Jiko,
Na choo Cha public.
Ni ramani simple lakini ya Kisasa.

Ramani hii itachukua
Tofali 1,600
Saruji 30
Nondo 20
Mchanga mende 1
Kokoto gari 1
n.k
n.k

Ramani hii inakaa kwenye Eneo la Mita 12x10.

Karibu nikujengee nyumba yako, huduma ni ya kitalii ila bei ya Wazawa.

0624254690
Karibuni.

RRONDOView attachment 3512980
Ramani nzuri. Vipi xipimo?
 
Watu wamejipinda wamesoma civil and QS 4years ,Architecture 5 years wewe unakuja kuleta utapeli kwenye taaluma za watu.
Sasa Elimu Yako inahusika vipi kwenye Uzi wangu mkuu?

Hasira zako za kusoma miaka 10 unazileta kwangu?

Inatakiwa ulete hoja za kueleweka kupinga hesabu zangu nilizoleta hapa, Ili watu wapime na waone usomi wako.

Tofauti na hapo Elimu Yako ya Miaka 20 haijakusaidia.
Gharama walizotumia wazazi kukusomesha afadhali wangenunua hata mapipa wahifadhie maji yawasaidie kwenye kipindi kama hiki maji yanaposumbua
 
Sasa Elimu Yako inahusika vipi kwenye Uzi wangu mkuu?

Hasira zako za kusoma miaka 10 unazileta kwangu?

Inatakiwa ulete hoja za kueleweka kupinga hesabu zangu nilizoleta hapa, Ili watu wapime na waone usomi wako.

Tofauti na hapo Elimu Yako ya Miaka 20 haijakusaidia.
Gharama walizotumia wazazi kukusomesha afadhali wangenunua hata mapipa wahifadhie maji yawasaidie kwenye kipindi kama hiki maji yanaposumbua
Vipimo.
 
Nilijua umeshare ramani kumbe foolish.
Ramani gani haina vipimo? Ramani gani haijakamilika?
Unataka vipimo wewe kama nani?
Nimeshare ramani, atakayeipenda anakuja nampa vipimo tunafanya kazi.
Au haujui Ramani zinalipiwa?

Unaweka ramani na vipimo, mtu anachukua ramani anaenda kufanya kazi au anaenda kuuzia watu wakati ameichukua hapa Bure.

Au unajua kuchora ramani ni simple kama kuwa chawa na kupata ulaji?
Ponjoro wa Kinondoni wataka vya bure Sheikh
 
Ramani nzuri. Vipi xipimo?
VIpimo vipo mkuu, bila shaka utakuwa unaelewa watu wanauza ramani za nyumba.
Mimi nimeweka ramani hapa Ili atakaye hitaji anakuja Nampa vipimo tunafanya kazi.
Tofauti na hapo unaweka ramani na vipimo vyake mtu anachukua nzima nzima anaenda either kuuza au kufanyia kazi.

Nimeeleweka mpaka hapa Bila shaka
 
Samahani kidogo.. Kwa huo ujenzi wako hapo mchanga lazima kua na mende 1? Huwezi kujenga bila mende kabisa?? Nahofia asije kua jike eakazaliana wakala nyumba yote.
Mende ni Gari ya Mchanga bei yake inarange 280,000 kulingana na eneo husika mkuu
 
Kazi nzuri mkuu
Asante mkuu, watu wanataka ramani na vipimo vyake, atakaye ielewa anakuja tunafanya kazi, Nampa vipimo.
Otherwise unaweka hapa Ramani na vipimo vyake, mtu anachukua anaenda kuuzia wengine, wakati hapa ameichukua for free.
 
Nimeshare ramani tu, ukiipenda nicheki nakupa vipimo vyake tufanye kazi.
Kama una idea ya nyumba Yako unayotaka kujenga niletee nikuchoree ramani yake pia
Eneno la 8x7 m au 9x7m naweza kutoa kitu gani amazing?
 
Habari wakuu,
nawaletea Ramani hii hapa ya Vyumba viwili (Kimoja ni Master)
Sebule,
Jiko,
Na choo Cha public.
Ni ramani simple lakini ya Kisasa.

Ramani hii itachukua
Tofali 1,600
Saruji 30
Nondo 20
Mchanga mende 1
Kokoto gari 1
n.k
n.k

Ramani hii inakaa kwenye Eneo la Mita 12x10.

Karibu nikujengee nyumba yako, huduma ni ya kitalii ila bei ya Wazawa.

0624254690
Karibuni.

RRONDOView attachment 3513008
Roughly,
Hii ramani unaweza kugharimu Tsh. Ngapi mpaka kupaua?
 
Eneno la 8x7 m au 9x7m naweza kutoa kitu gani amazing?
Kutoa kitu itatategema mapenzi Yako mkuu unataka Nini.
Ila hapo unaweza kupata Chumba na choo chake, sebule Fulani ndogo
Na eneo litabaki Kwa ajili ya watoto kucheza.
 
Back
Top Bottom