Kelvin35
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 1,161
- 1,817
daaah! Hapa sasa hapa ...Wakati mwingine unaweza ukashindwa kuendelea mbele na ujenzi kwa sababu kuna watu uliwafanyisha kazi, lakini haki zao ukawadhulumu
Lakini pia Mungu anaweza akakuacha ukafanya ujenzi wako hivyo hivyo kwa dhulma dhulma, na baada ya nyumba kukamilika, hiyo nyumba isidumu hata miaka mitano ukaipoteza (kuungua, kukuingiza hasara katika matengenezo kila kukicha na mabalaa mengine) yote ni kwa sababu kuna watu wanalilia haki zao kwako na hutaki kuwalipa.
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane