Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 862
- 3,240
- Thread starter
- #1,081
Huwa tunaongeza asilimia flani kama allowanceMkuu hivi mkikadiria bati kwenye makadirio hua inakua exactly?
Kila fundi huwa ana namna yake ya kutumia material ndio maana fundi mmoja anaweza akakutajia bati 110 na mwingine akakutajia bati 115 na wote hao ukakuta bati zote zikaisha (wakatofautiana kwenye mabaki (wastage), mwingine akawa na wastage chache na mwingine akawa na wastage nyingi)
Hii sio kwenye bati tu, ni katika hatua zote za ujenzi (ni muhimu kuwe na allowance).