Ramani, makadirio, Elimu na ushauri kuhusu Ujenzi

Ramani, makadirio, Elimu na ushauri kuhusu Ujenzi

Kwahiyo ile nafasi inayotakiwa kuachwa pembeni ya tofali kwa matumizi mengine huwa haina ulazima tena?.
Sasa hapo mzeya ukilaza tofali za msingi na bomba sii maana yake zinakuwa flash pande zote mbili ndani na nje.
Kuhusu jinsi ya kusaka level ya floor hiyo tumngoje engineer atueleze.
 
Sasa hapo mzeya ukilaza tofali za msingi na bomba sii maana yake zinakuwa flash pande zote mbili ndani na nje.
Kuhusu jinsi ya kusaka level ya floor hiyo tumngoje engineer atueleze.
Level ya floor haina shida, inatafutwa tu point moja baada ya hapo pipe level inatumika kutafuta level kwa jengo lote

Hata hivyo mpaka kufikia maamuzi ya kulaza tofali za boma, maana yake hapo kwa asilimia kubwa jengo litakuwa ni la ghorofa kwa hivyo tofali za boma zitakuwa zinasetiwa juu ya zege la jamvi
 
Katika zoezi la ushindiliaji wa kifusi katika msingi, maji huwa yanatumika kwa lengo la kuondoa hewa (air voids) katika udongo, lakini maji yanapozidi kupita kiasi na kufanya udongo uloane (fully saturated), inasababisha nguvu ya msukumo wa udongo (earth pressure) katika kuta iongezeke zaidi ambapo matokeo yake unaweza ukafika site asubuhi ukakuta kuna nyufa kila mahali katika msingi (kuta).

Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Kuna shida yoyote kama ukiamua kujaza mchanga wa kujengea kwenye msingi badala ya udongo ama kifusi?.
 
Kuna shida yoyote kama ukiamua kujaza mchanga wa kujengea kwenye msingi badala ya udongo ama kifusi?.
Shida ya mchanga huwa haushindiliki, unaweza ukaushindilia hata na compactor lakini ukichomeka hata mti, mti unaingia bila hata kutumia nguvu lakini pia punje za mchanga hazina ushirikiano (cohesion) kama ilivyo kwa aina zingine za udongo

Mchanga pia una tabia ya kutitia, mfano ukijaza mchanga kwenye ndoo then ukaweka maji, utaona mchanga unachuka chini

Kiufupi kwenye kifusi, tumia udongo wenye asili ya kichanga (huu unakuwa ni udongo ambao una mchanga kwa asilimia zaidi ya 50 huku asilimia zingine zikiwa occupied na aina zingine za udongo kama silt n.k ambazo ndizo zinafanya udongo uwe na cohesion kati ya punde moja na nyingine)

Hukatazwi kutumia mchanga, ila kama una options mbili (mchanga na udongo wa kichanga) basi tumia udongo
 
Ni nzuri naomba kama hyo ila iwe room mbili za kulala sitaki master bafu na njoo viwe kati ya hizo rooms za kulala.ila kuwe na bafu na njoo vinavoangalia upande WA nje.kama ulivoweka hizo ngazi hapo kwenda jikoni au sebuleni ongeza upande mmoja iwe public toilets.
Nyumba yenye vyoo kila chumba spending
Kwanza usafi nao gharama ja
Ani
 
Ni nzuri naomba kama hyo ila iwe room mbili za kulala sitaki master bafu na njoo viwe kati ya hizo rooms za kulala.ila kuwe na bafu na njoo vinavoangalia upande WA nje.kama ulivoweka hizo ngazi hapo kwenda jikoni au sebuleni ongeza upande mmoja iwe public toilets.
Nyumba yenye vyoo kila chumba spending
Kwanza usafi nao gharama ja
Ani
Tuwasiliane ndg
Sifuri sita mbili nne sifuri sita nane nane sifuri tisa
 
Baada ya kuweka bomba za umeme na maji (plumbing), hakikisha sehemu zote ambazo ziko wazi unaziziba vizuri kwa makaratasi wakati unanusubiria kuweka fittings zake siku za mbeleni ili kutoruhusu wadudu kama Nyoka, Tandu, Nge n.k kuweza kuingia na kuzaliana katika hayo mabomba

Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
 
Baada ya kuweka bomba za umeme na maji (plumbing), hakikisha sehemu zote ambazo ziko wazi unaziziba vizuri kwa makaratasi wakati unanusubiria kuweka fittings zake siku za mbeleni ili kutoruhusu wadudu kama Nyoka, Tandu, Nge n.k kuweza kuingia na kuzaliana katika hayo mabomba

Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Mkuu hivi mkikadiria bati kwenye makadirio hua inakua exactly?
 
Back
Top Bottom