adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,786
- 37,803
Moja kwa Moja..
Leo nimeingia Jf now , nilijua tu haiwezi Ramadhani kuanza kinyonge bila kukuta zile nyuzi nikasema ngoja nichungulie HMM , page ya mwanzo tu nikakuta nyuzi zimeongozana ya kwanza hii 👇👇 halafu hii nyuzi kila Ramadhani lazima ianzishwe ndio uzi ambao unaingia kwenye rekodi ya kurudiwa mara nyingi zaidi JF
Mtu unauliza la nini katika mambo ambayo hayaruhusu na wala hayakuathiri kwa chochote wala kukupa pesa ? Waislamu tusharidhika kubadilisha muda wa kula tabu Iko wapi .
Wewe akili yako ishakuambia kuwa Waislamu wamepotea na hawana jema nk. sasa kwa nini uhangaike kuulizia mambo yao wakati jibu mnalo kuwa kobazi hao wamepotea ?
Nikakuta nyuzi mwingine hii yenye mlengo mmoja na hii ni kopi karibia kila mwaka lazima uje kwa version nyingine .
Sisi vyovyote mtakavyokuja na kutuambia tumekubali Uislamu ndio dini yetu hakuna namna ya kutubadilisha kama mnaumia na mambo yetu na kuhangaika nayo kuliko hata sisi wenye dini yetu basi poleni sana . Ramadhani hii inawapa tabu sana ya kuanda na kuandika nyuzi nyingi
#Ramadhan Mubarak
Leo nimeingia Jf now , nilijua tu haiwezi Ramadhani kuanza kinyonge bila kukuta zile nyuzi nikasema ngoja nichungulie HMM , page ya mwanzo tu nikakuta nyuzi zimeongozana ya kwanza hii 👇👇 halafu hii nyuzi kila Ramadhani lazima ianzishwe ndio uzi ambao unaingia kwenye rekodi ya kurudiwa mara nyingi zaidi JF
Mtu unauliza la nini katika mambo ambayo hayaruhusu na wala hayakuathiri kwa chochote wala kukupa pesa ? Waislamu tusharidhika kubadilisha muda wa kula tabu Iko wapi .
Wewe akili yako ishakuambia kuwa Waislamu wamepotea na hawana jema nk. sasa kwa nini uhangaike kuulizia mambo yao wakati jibu mnalo kuwa kobazi hao wamepotea ?
Nikakuta nyuzi mwingine hii yenye mlengo mmoja na hii ni kopi karibia kila mwaka lazima uje kwa version nyingine .
Sisi vyovyote mtakavyokuja na kutuambia tumekubali Uislamu ndio dini yetu hakuna namna ya kutubadilisha kama mnaumia na mambo yetu na kuhangaika nayo kuliko hata sisi wenye dini yetu basi poleni sana . Ramadhani hii inawapa tabu sana ya kuanda na kuandika nyuzi nyingi
#Ramadhan Mubarak