Mufti Mkuu Dkt. Abubakar: Tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha watu. Muislamu haambiwi jambo akaenda tu, msifuate mkumbo

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,248
4,687
Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi.

Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela pamoja na Viongozi mbalimbali wa Dini.

Mufti amesema “Mtume alikuwa Mtu wa subra, alikuwa Mtu wa pole, alikuwa akifundisha amani, Mungu alimtayarisha akawa ni Mtu wa namna hiyo hakufanya mambo ya kipuuzi hata siku moja”

Soma Pia: BAKWATA yatoa tamko kuhusu joto la utekwaji na mauaji

“Na Mungu ametueleza katika Quran juu ya masuala ya amani ni ajabu Umma huu leo ikawa hawa ndio wanaovunja amani wao ndio wanaoharibu ulimwengu, msilete uharibifu, msieneze uharibifu katika Nchi, Mungu ametukataza na Muislamu hatakiwi kila jambo ambalo linafanywa na anafanya na yeye”

“Tusisumbuliwe na Watu, kikundi au fikra za baadhi ya Watu kwa makusudio yao au zile mambo wanayokuwa nayo, rudi katika uislamu, je, uislamu unaniamlisha Mtume kasema yafaa kufanya jambo hili ?, haiwezekani Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu na unatoka katika mafunzo ya uislamu na uislamu hauko huko, Muislamu ndio Mtu wa kwanza kuchunga mazingira, usiwe kama Mtu ambaye ana tabu ya afya ya akili, sasa unaona Watu wanapita barabarani wewe unaingia ‘eeh hatukubali Bwana’ haukubali nini sasa!?”

“Tutumie akili zaidi, Muislamu haambiwi jambo halafu anakwenda, anaanza kufikiri, ukiambiwa jambo unalitia katika mizani kwanza kisha ndio unakwenda, sio unaambiwa jambo unakwenda tu ‘hatutaki hatutaki’ asili yake unaijua?, lazima tulinde amani Nchini hatuna Nchi nyingine Nchi yetu ndio hii, tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha Watu, jiulize hakuna mambo mengine hapa?, lakini Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu”
 
Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi.

Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela pamoja na Viongozi mbalimbali wa Dini.

Mufti amesema “Mtume alikuwa Mtu wa subra, alikuwa Mtu wa pole, alikuwa akifundisha amani, Mungu alimtayarisha akawa ni Mtu wa namna hiyo hakufanya mambo ya kipuuzi hata siku moja”

“Na Mungu ametueleza katika Quran juu ya masuala ya amani ni ajabu Umma huu leo ikawa hawa ndio wanaovunja amani wao ndio wanaoharibu ulimwengu, msilete uharibifu, msieneze uharibifu katika Nchi, Mungu ametukataza na Muislamu hatakiwi kila jambo ambalo linafanywa na anafanya na yeye”

“Tusisumbuliwe na Watu, kikundi au fikra za baadhi ya Watu kwa makusudio yao au zile mambo wanayokuwa nayo, rudi katika uislamu, je, uislamu unaniamlisha Mtume kasema yafaa kufanya jambo hili ?, haiwezekani Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu na unatoka katika mafunzo ya uislamu na uislamu hauko huko, Muislamu ndio Mtu wa kwanza kuchunga mazingira, usiwe kama Mtu ambaye ana tabu ya afya ya akili, sasa unaona Watu wanapita barabarani wewe unaingia ‘eeh hatukubali Bwana’ haukubali nini sasa!?”

“Tutumie akili zaidi, Muislamu haambiwi jambo halafu anakwenda, anaanza kufikiri, ukiambiwa jambo unalitia katika mizani kwanza kisha ndio unakwenda, sio unaambiwa jambo unakwenda tu ‘hatutaki hatutaki’ asili yake unaijua?, lazima tulinde amani Nchini hatuna Nchi nyingine Nchi yetu ndio hii, tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha Watu, jiulize hakuna mambo mengine hapa?, lakini Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu”


Hakuna dini au binadamu wa dini yeyote atakubali watu wauliwe ovyo ovyo tu na kunyamaza. Ukinyamaza kama vile hakuna kitu ndiyo kutokupenda taifa sio vinginevyo. Mzee juzi juzi kauliwa na alikuwa mwislam inasikitisha hawa viongozi wa dini hawasemi nini kifanyike. Watu wasikoandamana wakati watu wanapotezwa na kuuliwa mnataka waandamane wakati gani?
 
HUYU NI KIONGOZI WA DINI MNAFIKI NA SI MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI BALI NI MTUMISHI WA SHETANI
 
Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi.

Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela pamoja na Viongozi mbalimbali wa Dini.

Mufti amesema “Mtume alikuwa Mtu wa subra, alikuwa Mtu wa pole, alikuwa akifundisha amani, Mungu alimtayarisha akawa ni Mtu wa namna hiyo hakufanya mambo ya kipuuzi hata siku moja”

“Na Mungu ametueleza katika Quran juu ya masuala ya amani ni ajabu Umma huu leo ikawa hawa ndio wanaovunja amani wao ndio wanaoharibu ulimwengu, msilete uharibifu, msieneze uharibifu katika Nchi, Mungu ametukataza na Muislamu hatakiwi kila jambo ambalo linafanywa na anafanya na yeye”

“Tusisumbuliwe na Watu, kikundi au fikra za baadhi ya Watu kwa makusudio yao au zile mambo wanayokuwa nayo, rudi katika uislamu, je, uislamu unaniamlisha Mtume kasema yafaa kufanya jambo hili ?, haiwezekani Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu na unatoka katika mafunzo ya uislamu na uislamu hauko huko, Muislamu ndio Mtu wa kwanza kuchunga mazingira, usiwe kama Mtu ambaye ana tabu ya afya ya akili, sasa unaona Watu wanapita barabarani wewe unaingia ‘eeh hatukubali Bwana’ haukubali nini sasa!?”

“Tutumie akili zaidi, Muislamu haambiwi jambo halafu anakwenda, anaanza kufikiri, ukiambiwa jambo unalitia katika mizani kwanza kisha ndio unakwenda, sio unaambiwa jambo unakwenda tu ‘hatutaki hatutaki’ asili yake unaijua?, lazima tulinde amani Nchini hatuna Nchi nyingine Nchi yetu ndio hii, tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha Watu, jiulize hakuna mambo mengine hapa?, lakini Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu”
walikuja na kuwachukua wanasiasa, nikasema hayanihusu mimi si mwanasiasa.
Wakaja kwa waandishi wa habari, nikasema hayanihusu mimi si mwandishi wa habari.
Wakaja kwa wanaharakati, nikasema hayanihusu mimi si mwanaharakati.
Wakaja kwa wakristo, nikasema mimi si mkristo siendagi kansani.
Wakaja kwa Waislamu, nikasema mimi si mwislamu.
Waliponiijia mimi, hakukuwa na mwingine wa kunitetea.

copy and paste
 
Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi.

Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela pamoja na Viongozi mbalimbali wa Dini.

Mufti amesema “Mtume alikuwa Mtu wa subra, alikuwa Mtu wa pole, alikuwa akifundisha amani, Mungu alimtayarisha akawa ni Mtu wa namna hiyo hakufanya mambo ya kipuuzi hata siku moja”

“Na Mungu ametueleza katika Quran juu ya masuala ya amani ni ajabu Umma huu leo ikawa hawa ndio wanaovunja amani wao ndio wanaoharibu ulimwengu, msilete uharibifu, msieneze uharibifu katika Nchi, Mungu ametukataza na Muislamu hatakiwi kila jambo ambalo linafanywa na anafanya na yeye”

“Tusisumbuliwe na Watu, kikundi au fikra za baadhi ya Watu kwa makusudio yao au zile mambo wanayokuwa nayo, rudi katika uislamu, je, uislamu unaniamlisha Mtume kasema yafaa kufanya jambo hili ?, haiwezekani Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu na unatoka katika mafunzo ya uislamu na uislamu hauko huko, Muislamu ndio Mtu wa kwanza kuchunga mazingira, usiwe kama Mtu ambaye ana tabu ya afya ya akili, sasa unaona Watu wanapita barabarani wewe unaingia ‘eeh hatukubali Bwana’ haukubali nini sasa!?”

“Tutumie akili zaidi, Muislamu haambiwi jambo halafu anakwenda, anaanza kufikiri, ukiambiwa jambo unalitia katika mizani kwanza kisha ndio unakwenda, sio unaambiwa jambo unakwenda tu ‘hatutaki hatutaki’ asili yake unaijua?, lazima tulinde amani Nchini hatuna Nchi nyingine Nchi yetu ndio hii, tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha Watu, jiulize hakuna mambo mengine hapa?, lakini Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu”
Bakwata ni jumuia ndani ya CCM yenye jukumu la kuwaghilbu Waislamu waiunge mkono CCM nyakati za uchaguzi
 
Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi.

Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela pamoja na Viongozi mbalimbali wa Dini.

Mufti amesema “Mtume alikuwa Mtu wa subra, alikuwa Mtu wa pole, alikuwa akifundisha amani, Mungu alimtayarisha akawa ni Mtu wa namna hiyo hakufanya mambo ya kipuuzi hata siku moja”

“Na Mungu ametueleza katika Quran juu ya masuala ya amani ni ajabu Umma huu leo ikawa hawa ndio wanaovunja amani wao ndio wanaoharibu ulimwengu, msilete uharibifu, msieneze uharibifu katika Nchi, Mungu ametukataza na Muislamu hatakiwi kila jambo ambalo linafanywa na anafanya na yeye”

“Tusisumbuliwe na Watu, kikundi au fikra za baadhi ya Watu kwa makusudio yao au zile mambo wanayokuwa nayo, rudi katika uislamu, je, uislamu unaniamlisha Mtume kasema yafaa kufanya jambo hili ?, haiwezekani Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu na unatoka katika mafunzo ya uislamu na uislamu hauko huko, Muislamu ndio Mtu wa kwanza kuchunga mazingira, usiwe kama Mtu ambaye ana tabu ya afya ya akili, sasa unaona Watu wanapita barabarani wewe unaingia ‘eeh hatukubali Bwana’ haukubali nini sasa!?”

“Tutumie akili zaidi, Muislamu haambiwi jambo halafu anakwenda, anaanza kufikiri, ukiambiwa jambo unalitia katika mizani kwanza kisha ndio unakwenda, sio unaambiwa jambo unakwenda tu ‘hatutaki hatutaki’ asili yake unaijua?, lazima tulinde amani Nchini hatuna Nchi nyingine Nchi yetu ndio hii, tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha Watu, jiulize hakuna mambo mengine hapa?, lakini Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu”
Malisa na kundi lako kuna ujembe wenu hapa
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Kila binadamu ana uhuru wakufuata akitakacho ilihali amebarehe anajua baya na zuri.

Kazi ya masheikh ni kuhubiri mema na kukumbusha watu juu ya kutenda mema na kuacha mabaya, suala la mtazamo linabaki kwa muumini mwenyewe akishabalehe nini afuate nini aache.
 
Dini ni upuuzi hasa hasa hiz zilizoletwa na watesi wenu (Waarabu na wazungu),in short hizi dini ni silaha za watawala kutawala watu..na ni chanzo Cha maovu katika jamii zetu,Afrika ilikuwa Ina maadili mema kabla ya dini hizi za watesi wetu, tulikuwa na umoja kwel kwel.. tulikuwa tunakemea maovu kwa pamoja ,Leo anatokea kiongozi wa dini kipofu anashaur watu kwa namna ya kuzuia maandamano,acha watu waandamane kwa amani wakiwasilisha shida zao kwa viongoz waliowachagua...by I am always crying for this country,and God of my ancestors shall give this country to me in the future
 
Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi.

Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela pamoja na Viongozi mbalimbali wa Dini.

Mufti amesema “Mtume alikuwa Mtu wa subra, alikuwa Mtu wa pole, alikuwa akifundisha amani, Mungu alimtayarisha akawa ni Mtu wa namna hiyo hakufanya mambo ya kipuuzi hata siku moja”

“Na Mungu ametueleza katika Quran juu ya masuala ya amani ni ajabu Umma huu leo ikawa hawa ndio wanaovunja amani wao ndio wanaoharibu ulimwengu, msilete uharibifu, msieneze uharibifu katika Nchi, Mungu ametukataza na Muislamu hatakiwi kila jambo ambalo linafanywa na anafanya na yeye”

“Tusisumbuliwe na Watu, kikundi au fikra za baadhi ya Watu kwa makusudio yao au zile mambo wanayokuwa nayo, rudi katika uislamu, je, uislamu unaniamlisha Mtume kasema yafaa kufanya jambo hili ?, haiwezekani Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu na unatoka katika mafunzo ya uislamu na uislamu hauko huko, Muislamu ndio Mtu wa kwanza kuchunga mazingira, usiwe kama Mtu ambaye ana tabu ya afya ya akili, sasa unaona Watu wanapita barabarani wewe unaingia ‘eeh hatukubali Bwana’ haukubali nini sasa!?”

“Tutumie akili zaidi, Muislamu haambiwi jambo halafu anakwenda, anaanza kufikiri, ukiambiwa jambo unalitia katika mizani kwanza kisha ndio unakwenda, sio unaambiwa jambo unakwenda tu ‘hatutaki hatutaki’ asili yake unaijua?, lazima tulinde amani Nchini hatuna Nchi nyingine Nchi yetu ndio hii, tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha Watu, jiulize hakuna mambo mengine hapa?, lakini Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu”
Mbona kipindi kile cha uamsho yalikuwa yanajiendea tu au ni kwa maelekezo ya nani? MKIRU oyeeeee.
 
Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi.

Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela pamoja na Viongozi mbalimbali wa Dini.

Mufti amesema “Mtume alikuwa Mtu wa subra, alikuwa Mtu wa pole, alikuwa akifundisha amani, Mungu alimtayarisha akawa ni Mtu wa namna hiyo hakufanya mambo ya kipuuzi hata siku moja”

“Na Mungu ametueleza katika Quran juu ya masuala ya amani ni ajabu Umma huu leo ikawa hawa ndio wanaovunja amani wao ndio wanaoharibu ulimwengu, msilete uharibifu, msieneze uharibifu katika Nchi, Mungu ametukataza na Muislamu hatakiwi kila jambo ambalo linafanywa na anafanya na yeye”

“Tusisumbuliwe na Watu, kikundi au fikra za baadhi ya Watu kwa makusudio yao au zile mambo wanayokuwa nayo, rudi katika uislamu, je, uislamu unaniamlisha Mtume kasema yafaa kufanya jambo hili ?, haiwezekani Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu na unatoka katika mafunzo ya uislamu na uislamu hauko huko, Muislamu ndio Mtu wa kwanza kuchunga mazingira, usiwe kama Mtu ambaye ana tabu ya afya ya akili, sasa unaona Watu wanapita barabarani wewe unaingia ‘eeh hatukubali Bwana’ haukubali nini sasa!?”

“Tutumie akili zaidi, Muislamu haambiwi jambo halafu anakwenda, anaanza kufikiri, ukiambiwa jambo unalitia katika mizani kwanza kisha ndio unakwenda, sio unaambiwa jambo unakwenda tu ‘hatutaki hatutaki’ asili yake unaijua?, lazima tulinde amani Nchini hatuna Nchi nyingine Nchi yetu ndio hii, tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha Watu, jiulize hakuna mambo mengine hapa?, lakini Muislamu unaambiwa jambo unakwenda unauharibu uislamu”
Huyo ni mufti au mjumbe wa NEC ya CCM?
 
Back
Top Bottom