welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,695
- 3,593
Vijana wa uvccm akili zenu mnazijuaga wenyewe,, hivi zile hela mnazogawanaga halmashauri zimerudishwa naminikajaribu kukopa mana nina kadi ya mchongo hapa ya toka mwaka 2004naipongeza serikali ya mama na chama cha mapinduzi kwa ujumla huu ushindi ni wetu sote watanzania