Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
Inasemekana kama kwenye tarehe 24 mwezi wa 4
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Ujinga ni kujihusisha na mada zisizokuhusu.
Mbona mbali sana aiseeInasemekana kama kwenye tarehe 24 mwezi wa 4
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Cha kuomba uhai IN SHAA ALLAH.Mbona mbali sana aisee
Bado kama two mouths HviRamadhani inakaribia
UbarikiweAssalaam Alaykum
Ndugu zangu Waislam
Allah awabaarik sana popote mlipo
TANBIH FUPI
Mwezi huu wa Rajab,ni Katika Miezi Mitukufu
Ila Baadhi ya Watu wanaojiita ni Masheikh,Wanawafundisha Watu na kuwasisitiza kuhusu kufanya Ibada mbalimbali katika miongoni mwa Ibada za Sunna
Jambo ambalo si sahihi kisheria
Hakuna Ibada Maalum ndani ya mwezi huu(Rajab),ambayo Mtume wa Allah Sala na Salamu ziwe juu yake ametufundisha
Bali
Ibada nyingi watu wamezua ndani ya Mwezi huu
Kuna Watu
Wanafanya Umra ndani ya mwezi huu(Rajab)Wakidhani kufanya hivi,wanapata Ujira zaidi
Kuna Watu
Wanaswali swala maalum( صلاة الرغائب)ambayo haina asili katika Dini yetu
Kuna watu
Wanafanya Ibada maalum usiku wa Nusu Rajab( صلاة النصف من رجب ),Hili nalo halina asili katika Sheria yetu tukufu
Kuna Watu
Wanaswali tarehe 27,na kusema ndio siku ya Miiraaj( صلاة ليلة المعراج ),Hili nalo halipo katika Dini
Kiujumla
Meengi yamezushwa na Watu kwa ujinga au kwalengo ambalo wao wanajua zaidi
Ikhwah
Tuwe makini sana ndani ya Miezi hii
Tusomeni Dini yetu,ili tujue yaliyosahihi kisheria
Shukran sana
جزاكم الله خيرا
Sent using Jamii Forums mobile app
Funga haikubaliki bwa somo.Mkuu sala haiondoi funga
Hizo ni ibada mbili tofauti
Ila inashauriwa ukifunga uswali maana utapata thawabu nyingi sana
Ila ukifunga na usiswali funga yako inakubalika kama kawaida cha muhimu uwe umetia nia na umejizuia na yale yote yanayotengua funga.
Shahada inayokusudiwa ni kumpwekesha Allah na sio kutamka tu,mana kama kutamka tu basi hata mkristo aanaweza kutamka na bado akawa anaenda kanisani,itamfaa shahada..?Mkuu hili suala limekuwa likileta mkanganyiko mkubwa sana baina ya wanazuoni
Wapo wanaodai ukifunga na usiposwali ,funga yako itakuwa ni batili na wana hoja zao kuhusu hilo
Pia wapo wanaodai ukifunga na usiposwali funga yako inakubalika kama kawaida na hawa pia wana hoja zao mf wa moja za hoja zao.
Hawa wanadai funga na swala ni nguzo mbili tofauti katika zile nguzo tano za uislamu
1)Kutoa shahada
2) kuswali
3)kutoa zakka
4)kufunga mwezi mtukufu wa ramadan na
5)kuhijji makka kwa wenye uwezo
Shaaban ishaingia tunaisubiri Ramadhan mwezi wa kuchuma thawabu za kila aina...bilashaka waendeleza swaum za Jumatatu na Alhamis Shadeeya.
Mwenyezi Mungu umpenda au kuwapenda wale wanaitana katika kheri..
Amiiin Insha Allah Binamu.Mwenyezi Mungu umpenda au kuwapenda wale wanaitana katika kheri..
Baraka za Allah zizidi kuwa kwako.. INSHALLAH..
Bina daima milele..
Bro leo ni mwezi 06 Sha'ban.Assalaam alaykum. Maukhty na akhuy leo ni mwezi ngapi Shaaban ?!
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹