Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,582
Wew sio muislamu kwenye ule uzi Jana si uliandika hivi nanukuu maandishi yako "Waislamu mna kazi kweli" Aburr Dharr usimjibu huyu kiumbe asikuchoshe na funga yako.
Kumbe ni haramu kutoa elimu ya dini kwa walio nje ya imani ili wasipate kusilimu!!!