Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Kuna uzi aliandika comments za kuudharau Uislamu nashangaa anajipendekeza huku uzi usio muhusuAsante my dear
Kuna uzi aliandika comments za kuudharau Uislamu nashangaa anajipendekeza huku uzi usio muhusuAsante my dear
Mtu ukimjua ni kumpuuza tu my dearKuna uzi aliandika comments za kuudharau Uislamu nashangaa anajipendekeza huku uzi usio muhusu
Nimekuelewa mpenziMtu ukimjua ni kumpuuza tu my dear
ShukranNimekuelewa mpenzi
Naskia mwezi umeandama sudia kweli?
Zipo kauli za Baadhi ya Vijana wa Dodoma
wamesema kwamba wameuona kwa macho yao,na kutoa kiapo
Na Audio zinatambaa katika Magroup ya WatsApp
Ama kuhusu Saudia
Ni kweli
Na baadhi ya nchi za Kiarabu
Wao ndo wana 28Waislam wafuatilie hili kwa umakini,hususan wale ambao leo wana 28
Ili kujipa uhakika katika Ibada yao
تقبل الله منا ومنكم
Kwema alihamdulillah
Inasemekana kama kwenye tarehe 24 mwezi wa 4Inaanza lini?